Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,861
- 93,648
Ulikuwa ni utawala wa huyu dikteta?Wakati mbowe anashinda mbona hamkuyasema haya?
Ulikuwa ni utawala wa huyu dikteta?Wakati mbowe anashinda mbona hamkuyasema haya?
Kibaraka.Chanzo cha kutokuaminika ni ushindi ?
Hamna mtu ambaye amezaliwa akiwa kibarakaWakati mbowe anashinda mbona hamkuyasema haya?
Naibu Waziri ili kuonesha nchi yetu ina demokrasia.Yule Dada Chawa..yupo kimkakati ndiyo maafisa Vipenyo hao wanajipambanua.
Mwisho wa siku anaunga juhudi mkono ,Ndugai anampa shavu maisha yanaendelea.
Chadema wanapinga ushindi wa mwanachadema mwenzao!!!
Itapendeza mumeo awe mwenyekiti,halafu mama mkwe wako makamuHabari wanajukwaa,
Kufuatia uchaguzi kuisha na CHADEMA kuambulia Mbunge mmoja huko Nkasi Kaskazini, Aida Khenan aliyeibuka mshindi kwa kumbwaga mbunge machachari wa CCM Ally kesi aliyeliongoza jimbo hilo kwa miaka kumi!
Ikumbukwe Aida Khenan licha ya yeye kuibuka kidedea pia kwenye jimbo lake jumla ya madiwani kumi wa CHADEMA walishinda kwenye kata zao, hivyo kulifanya jimbo la Nkasi kuongoza kwa kuibwaga CCM kwenye ubunge na udiwani!
Ikumbukwe pia, kabla ya uchaguzi vigogo wa CHADEMA waliokuwa wanajimwambafai kuwa wanazijua mbinu za medani za kuishinda CCM ni Mbowe, Mdee ,Lema ,Msigwa ,Heche na Sugu walioishia kubwagwa vibaya sana kwenye majimbo yao!
Kwa muktadha huo kati ya Mbowe na Aida Khenan ni nani anazijua mbinu za medani za kushinda uchaguzi? Bila shaka ni Aida Khenan wa Nkasi Kaskazini na si Lema ,Msigwa wala Mdee!
Je, CHADEMA iko tayari kuongozwa na mwenyekiti asiyejua medani za kushinda uchaguzi? La hasha CHADEMA inatakiwa kuongozwa na Aida Khenan anayejua mbinu za kuishinda CCM bila kuleta visingizio vya tume, polisi wala mawakala.
Anayejua jinsi ya kushawishi wananchi, kusambaza mawakala vituoni ,kudeal na polisi ,kumbana mkurugenzi ndiyo awe mwenyekiti wa CHADEMA.
Si Mbowe ,wala Tundu Lisu aliyefika Nkasi kumuombea kura Aida lakini bado akaibuka kidedea, hivyo anazo sifa zote za kuwa mwenyekiti mpya wa chama.
Ana haki ya kuidharau chadema maana kaona hawana uwezo wa kushinda ila yeye tuu. Hivyo lazima awadharau.CHADEMA wanatakiwa wamfute uachama abaki kuwa mbunge wa CCM, mbunge gani anaongea na ana kidharau chama?
Kosa lake kushinda ubunge ndo afukuzwe ? Mbona DJ Ana roho mbaya hivi?Chadema sijui wanasubiri nini kumfukuza kwenye chama?
Kuna mkoa gani mwingine una madiwani 10 wa chadema?Mwenyewe hata hujui kitu. Hao madiwani ni wa mkoa mzima. Rudi tena kwa polepole akupe data vizuri ndo uje kutuongopea hapa.
Sasa wamtenge kwa kosa gani? Na ushirikuano gani ambao mkimnyima atashindwa kwenda bungeni?Sasa wamfukuze kwa kosa gani? Huyu ni wa kumtenga na kumnyima ushirikiano kuanzia ngazi ya chini hadi juu, lazima ni mtoa Siri na amewekwa hapo kwa kusudi maalum
Acheni kulialia eti atatoa Siri, kwanini mpimpitisha akagombee ubunge?Atatoa siri za chama sn
Mna makesi ICC hebu jikiteni kwenye kuyafikiria hayoSasa wamtenge kwa kosa gani? Na ushirikuano gani ambao mkimnyima atashindwa kwenda bungeni?
Hamueleweki mnataka Nini maana kila siku kumsakama huyu mama.
Demokorasia kwani nini?Chadema sijui wanasubiri nini kumfukuza kwenye chama?