Mromboo
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,928
- 6,467
Hapana mkuu. Kikubwa ni kumuacha tu awe anapwaya pwaya kama maharagwe kwenye chunguBora lawama kuliko shari
Hapana mkuu. Kikubwa ni kumuacha tu awe anapwaya pwaya kama maharagwe kwenye chunguBora lawama kuliko shari
Hana siri huyo. Walitaka wawatumie wa viti maalum sasa wamefail.Atatoa siri za chama sn
Ana haribu snHapana mkuu. Kikubwa ni kumuacha tu awe anapwaya pwaya kama maharagwe kwenye chungu
YapHana siri huyo. Walitaka wawatumie wa viti maalum sasa wamefail.
Wamfukuze kivipi?Chadema sijui wanasubiri nini kumfukuza kwenye chama?
Habari wana jukwaa.
Kufuatia uchaguzi kuisha na Chadema kuambulia Mbunge mmoja huko Nkasi Kaskazini Aida Khenan aliyeibuka mshindi kwa kumbwaga mbunge machachari wa ccm Ally kesi aliyeliongoza jimbo hilo kwa miaka kumi!
Ikumbukwe Aida Khenan licha ya yeye kuibuka kidedea pia kwenye jimbo lake jumla ya madiwani kumi wa Chadema walishinda kwenye kata zao ,hivyo kulifanya jimbo la Nkasi kuongoza kwa kuibwaga ccm kwenye ubunge na udiwani!
Ikumbukwe pia, kabla ya uchaguzi vigogo wa Chadema waliokuwa wanajimwambafai kuwa wanazijua mbinu za medani za kuishinda ccm ni Mbowe, Mdee ,Lema ,Msigwa ,Heche na Sugu walioishia kubwagwa vibaya sana kwenye majimbo yao!!
Kwa muktadha huo kati ya Mbowe na Aida Khenan ni nani anazijua mbinu za medani za kushinda uchaguzi? Bila shaka ni Aida Khenan wa Nkasi Kaskazini na si Lema ,Msigwa wala Mdee!!!
Je Chadema iko tayari kuongozwa na mwenyekiti asiyejua medani za kushinda uchaguzi? La hasha Chadema inatakiwa kuongozwa na Aida Khenan anayejua mbinu za kuishinda ccm bila kuleta visingizio vya tume, polisi wala mawakala.
Anayejua jinsi ya kushawishi wananchi, kusambaza mawakala vituoni ,kudeal na polisi ,kumbana mkurugenzi ndiyo awe mwenyekiti wa CHADEMA.
Si Mbowe ,wala Tundu Lisu aliyefika Nkasi kumuombea kura Aida lakini bado akaibuka kidedea, hivyo anazo sifa zote za kuwa mwenyekiti mpya wa chama.
Ipi? Mbona hakuna hoja hapo?!Jikite kwenye hoja
Atengwe kwa kushinda uchaguzi?Sasa wamfukuze kwa kosa gani? Huyu ni wa kumtenga na kumnyima ushirikiano kuanzia ngazi ya chini hadi juu, lazima ni mtoa Siri na amewekwa hapo kwa kusudi maalum
Sina muda na kahaba kama wewe , kauze KBila shaka wewe ni Joyce Mkuya ,pole sana safari hii utauchezea ukuni bila hongo la viti malum ulilozoea miaka yote.
Ungekuwa umeshawahi fanya kazi kwenye taasisi za fedha, mwajiri anaweza kukutimua kwa kukosa imani na wewe.Atengwe kwa kushinda uchaguzi?
Kumbe Chadema hamtaki wagombea wenu washinde?
Aliyewabatiza nyumbu aliona mbali
Kuna nyumbu kama mijitu ya CCM? Mnadiriki hadi kumkufuru Mungu, eti CCM itashinda, Mungu apende au asipende. Mtakufa wote kwa ukomaAtengwe kwa kushinda uchaguzi?
Kumbe Chadema hamtaki wagombea wenu washinde?
Aliyewabatiza nyumbu aliona mbali
CCM ndiyo inapanga nani ashinde na nani asishindeNa madiwani kumi nao walishindishwa?
Acheni wivu
Una polisi au NEC?Kwa nini msivuruge hiyo mipango?
We Pimbi wa Lumumba mbona unawashwawashwa Sana na Chadema Kama wale wastaafu wanaowashwawashwa . Kwa IQ yako na mwenyekiti wako ya 0.0000001 na wenzio Lumumba unajiona umeshusha bonge la thread ? .Habari wanajukwaa.
Kufuatia uchaguzi kuisha na CHADEMA kuambulia Mbunge mmoja huko Nkasi Kaskazini, Aida Khenan aliyeibuka mshindi kwa kumbwaga mbunge machachari wa CCM Ally kesi aliyeliongoza jimbo hilo kwa miaka kumi!
Ikumbukwe Aida Khenan licha ya yeye kuibuka kidedea pia kwenye jimbo lake jumla ya madiwani kumi wa CHADEMA walishinda kwenye kata zao, hivyo kulifanya jimbo la Nkasi kuongoza kwa kuibwaga CCM kwenye ubunge na udiwani!
Ikumbukwe pia, kabla ya uchaguzi vigogo wa CHADEMA waliokuwa wanajimwambafai kuwa wanazijua mbinu za medani za kuishinda CCM ni Mbowe, Mdee ,Lema ,Msigwa ,Heche na Sugu walioishia kubwagwa vibaya sana kwenye majimbo yao!
Kwa muktadha huo kati ya Mbowe na Aida Khenan ni nani anazijua mbinu za medani za kushinda uchaguzi? Bila shaka ni Aida Khenan wa Nkasi Kaskazini na si Lema ,Msigwa wala Mdee!!!
Je, CHADEMA iko tayari kuongozwa na mwenyekiti asiyejua medani za kushinda uchaguzi? La hasha CHADEMA inatakiwa kuongozwa na Aida Khenan anayejua mbinu za kuishinda CCM bila kuleta visingizio vya tume, polisi wala mawakala.
Anayejua jinsi ya kushawishi wananchi, kusambaza mawakala vituoni ,kudeal na polisi ,kumbana mkurugenzi ndiyo awe mwenyekiti wa CHADEMA.
Si Mbowe ,wala Tundu Lisu aliyefika Nkasi kumuombea kura Aida lakini bado akaibuka kidedea, hivyo anazo sifa zote za kuwa mwenyekiti mpya wa chama.