Mbinu za Kuidhoofisha CCM

Habari za asubuhi wanajamvi.

Nimekuwa nikitafakari sana hali ya kisiasa nchini. Ni ukweli ulio wazi kuwa Chama tawala (CCM) ni chama kikubwa, chenye rasilimali watu na fedha pamoja na kufanya kazi kwa ukaribu na vyombo vya ulinzi na usalama, bila kusahau tentacles zake ziko kwenye kila eneo la serikali. Hizi ni facts, ni hali halisi kwa ground ambazo hatuwezi kupingana nazo au kujidanganya kuwa hazipo.

Kwa kutambua hilo, mbinu zozote za kupambana na CCM ni lazima zijumuishe ukweli huo. Ningependa kupata mawazo ya wadau, kama una mbinu yoyote inayozingatia hali halisi niliyoeleza tushauriane hapa. Mimi naanza na moja;

Kwa kuwa CCM ina watu kwenye vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na serikali, nashauri vyama vya upinzani navyo kuanza ku-recruit au kupandikiza watu huko. Mfano, kunapotokea kuna ajira za polisi/TRA/Uhamiaji nk...vyama vya upinzani vichukue jukumu la dhati kuhakikisha kuwa vijana wa chama, wenye imani na vyama hivi wanapata nafasi hizo. Kuanzia kwenye kuhimiza wajiunge mpaka ku-lobby pale inapowezekana ili navyo viwe na watu wao huko.

Je, wewe unashauri mbinu gani itumike kuidhoofisha CCM na/au kuimarisha vyama vya upinzani?
Bwana mdogo wewe mrundi umepitia jeshi au unaandika tu kufurahisha jamvi.
Mawazo yako ni uhaini kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Kijana hajielewi kuwa anachochea Third Columnists ndani ya nchi.
Kaka mkubwa kuwa na polisi rafiki ni kosa? ambao wakitumwa wawapige au wasaidie kuingiza kura feki kwenye vituo wakatae ni "Third Columnists"?
 
Vyama vyote vya upinzani viungane na kusimamisha mgombea mmoja. Tupate katiba mpya.
Shukrani sana, nakubaliana nawe kabisa. Mara ya mwisho walipofanya hivi 2015 walipata kura milioni 6 na wabunge kibao, ndio kura nyingi zaidi kuwahi kupatikana.
 
Bwana mdogo wewe mrundi umepitia jeshi au unaandika tu kufurahisha jamvi.
Mawazo yako ni uhaini kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mie ni Mtanzania kabisa na sijawahi kupita jeshi lolote (iwe mgambo au JKT). Nimeomba kupata mbinu za kuidhoofisha na baadae kuishinda CCM, CCM sio serikali ni chama tu cha siasa kama kilivyo TLP & Jahazi Asilia. Unaweza kunisaidia mbinu gani vyama vya upinzani vitumie ili kuishinda CCM?
 
Post yangu inaomba michango ya nini kifanyike? ACT ni chama kimojawapo, wana haki ya kutumia mbinu wanayoona inawafaa. Vipi kwa vyama na wadau wengine, je wao watumie mbinu gani?
Hakuna mbinu yoyote kutoka nje inayoweza kutumika kuiondoa CCM madarakani. Ni Watanzania wachache wanaofikiria mambo ya siasa kama wewe, Watanzania walio wengi wako kwenye habari za Zuchu, Diamondo, Ali Kiba, Amber rutty, Manara, Simba na Yanga na kujikomba kwa yeyote atakayekuwa Ofisi namba moja.

CCM itaondoka madarakani kwa kugawanyika yenyewe ndani kwa ndani. Mataga wanaweza kuwa chanzo cha CCM kumong'onyoka japo wanadharauliwa na hawatiliwi maanani, ila mataga ni kundi kubwa ndani ya chama ambalo linaona limesalitiwa na lingetaka mambo yaendeshwe kijiwe na sio kama yanavyokwenda hivi sasa.
 
Habari za asubuhi wanajamvi.

Nimekuwa nikitafakari sana hali ya kisiasa nchini. Ni ukweli ulio wazi kuwa Chama tawala (CCM) ni chama kikubwa, chenye rasilimali watu na fedha pamoja na kufanya kazi kwa ukaribu na vyombo vya ulinzi na usalama, bila kusahau tentacles zake ziko kwenye kila eneo la serikali. Hizi ni facts, ni hali halisi kwa ground ambazo hatuwezi kupingana nazo au kujidanganya kuwa hazipo.

Kwa kutambua hilo, mbinu zozote za kupambana na CCM ni lazima zijumuishe ukweli huo. Ningependa kupata mawazo ya wadau, kama una mbinu yoyote inayozingatia hali halisi niliyoeleza tushauriane hapa. Mimi naanza na moja;

Kwa kuwa CCM ina watu kwenye vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na serikali, nashauri vyama vya upinzani navyo kuanza ku-recruit au kupandikiza watu huko. Mfano, kunapotokea kuna ajira za polisi/TRA/Uhamiaji nk...vyama vya upinzani vichukue jukumu la dhati kuhakikisha kuwa vijana wa chama, wenye imani na vyama hivi wanapata nafasi hizo. Kuanzia kwenye kuhimiza wajiunge mpaka ku-lobby pale inapowezekana ili navyo viwe na watu wao huko.

Je, wewe unashauri mbinu gani itumike kuidhoofisha CCM na/au kuimarisha vyama vya upinzani?

Kwa nini unataka CCM idhoofishwe? Why exactly? Halafu, ikidhoofishwa then what?

Mada yako inahitaji ufafanuzi wa kina. Katika demokrasia ya vyama vingi vya siasa haiyumkininiki kuwa na lengo la aina hiyo - kudhoofisha chama fulani. Lengo ni kuhakikisha wananchi wanakuwa na uwezo wa kuamua na kuchagua viongozi bora.

Fafanua unachokusudia kwa kupendekeza hilo na jinsi litakavyowezesha demokrasia ya kweli kuwepo nchini. Kulenga tu kudhoofisha chama fulani cha siasa bila lengo maalum ni kuvuruga mpangilio mzima wa mfumo wa vyama vingi nchini.

Bila ufafanuzi huo utapata michango ya ajabu ajabu kwenye uzi huu.
 
Habari za asubuhi wanajamvi.

Nimekuwa nikitafakari sana hali ya kisiasa nchini. Ni ukweli ulio wazi kuwa Chama tawala (CCM) ni chama kikubwa, chenye rasilimali watu na fedha pamoja na kufanya kazi kwa ukaribu na vyombo vya ulinzi na usalama, bila kusahau tentacles zake ziko kwenye kila eneo la serikali. Hizi ni facts, ni hali halisi kwa ground ambazo hatuwezi kupingana nazo au kujidanganya kuwa hazipo.

Kwa kutambua hilo, mbinu zozote za kupambana na CCM ni lazima zijumuishe ukweli huo. Ningependa kupata mawazo ya wadau, kama una mbinu yoyote inayozingatia hali halisi niliyoeleza tushauriane hapa. Mimi naanza na moja;

Kwa kuwa CCM ina watu kwenye vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na serikali, nashauri vyama vya upinzani navyo kuanza ku-recruit au kupandikiza watu huko. Mfano, kunapotokea kuna ajira za polisi/TRA/Uhamiaji nk...vyama vya upinzani vichukue jukumu la dhati kuhakikisha kuwa vijana wa chama, wenye imani na vyama hivi wanapata nafasi hizo. Kuanzia kwenye kuhimiza wajiunge mpaka ku-lobby pale inapowezekana ili navyo viwe na watu wao huko.

Je, wewe unashauri mbinu gani itumike kuidhoofisha CCM na/au kuimarisha vyama vya upinzani?

Kwa nini unataka CCM idhoofishwe? Why exactly? Halafu, ikidhoofishwa then what?

Mada yako inahitaji ufafanuzi wa kina. Katika demokrasia ya vyama vingi vya siasa haiyumkininiki kuwa na lengo la aina hiyo - kudhoofisha chama fulani. Lengo ni kuhakikisha wananchi wanakuwa na uwezo wa kuamua na kuchagua viongozi bora.

Fafanua unachokusudia kwa kupendekeza hilo na jinsi litakavyowezesha demokrasia ya kweli kuwepo nchini. Kulenga tu kudhoofisha chama fulani cha siasa bila lengo maalum ni kuvuruga mpangilio mzima wa mfumo wa vyama vingi nchini.

Bila ufafanuzi huo utapata michango ya ajabu ajabu kwenye uzi huu.
 
Hakuna mbinu yoyote kutoka nje inayoweza kutumika kuiondoa CCM madarakani. Ni Watanzania wachache wanaofikiria mambo ya siasa kama wewe, Watanzania walio wengi wako kwenye habari za Zuchu, Diamondo, Ali Kiba, Amber rutty, Manara, Simba na Yanga na kujikomba kwa yeyote atakayekuwa Ofisi namba moja.

CCM itaondoka madarakani kwa kugawanyika yenyewe ndani kwa ndani. Mataga wanaweza kuwa chanzo cha CCM kumong'onyoka japo wanadharauliwa na hawatiliwi maanani, ila mataga ni kundi kubwa ndani ya chama ambalo linaona limesalitiwa na lingetaka mambo yaendeshwe kijiwe na sio kama yanavyokwenda hivi sasa.

Shukrani sana kaka. Follow up question, je inawezekana ku-accelerate hili la Mataga mfano?
 
Kwa nini unataka CCM idhoofishwe? Why exactly? Halafu, ikidhoofishwa then what?

Mada yako inahitaji ufafanuzi wa kina. Katika demokrasia ya vyama vingi vya siasa haiyumkininiki kuwa na lengo la aina hiyo - kudhoofisha chama fulani. Lengo ni kuhakikisha wananchi wanakuwa na uwezo wa kuamua na kuchagua viongozi bora.

Fafanua unachokusudia kwa kupendekeza hilo na jinsi litakavyowezesha demokrasia ya kweli kuwepo nchini. Kulenga tu kudhoofisha chama fulani cha siasa bila lengo maalum ni kuvuruga mpangilio mzima wa mfumo wa vyama vingi nchini.

Bila ufafanuzi huo utapata michango ya ajabu ajabu kwenye uzi huu.

Nadhani nimeeleza kidogo, kwa sasa uwanja haupo plain - mfano, mwenyekiti wa CCM (kila 5 years ni mgombea pia) anateua waamuzi (Tume). Kuidhoofisha kunalenga kufanya level plainfield kwa vyama vyote ili wananchi waweze kuchagua wamtakae.

However; sina attachment yoyote na maneno (heading) niliyotumia. Tusijikite sana kwenye maneno yaliyotumika, please tumia swali hili tupate mchango wako > Je ni mbinu gani vyama vya upinzani vinaweza kutumia kuishinda CCM?
 
Habari za asubuhi wanajamvi.

Nimekuwa nikitafakari sana hali ya kisiasa nchini. Ni ukweli ulio wazi kuwa Chama tawala (CCM) ni chama kikubwa, chenye rasilimali watu na fedha pamoja na kufanya kazi kwa ukaribu na vyombo vya ulinzi na usalama, bila kusahau tentacles zake ziko kwenye kila eneo la serikali. Hizi ni facts, ni hali halisi kwa ground ambazo hatuwezi kupingana nazo au kujidanganya kuwa hazipo.

Kwa kutambua hilo, mbinu zozote za kupambana na CCM ni lazima zijumuishe ukweli huo. Ningependa kupata mawazo ya wadau, kama una mbinu yoyote inayozingatia hali halisi niliyoeleza tushauriane hapa. Mimi naanza na moja;

Kwa kuwa CCM ina watu kwenye vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na serikali, nashauri vyama vya upinzani navyo kuanza ku-recruit au kupandikiza watu huko. Mfano, kunapotokea kuna ajira za polisi/TRA/Uhamiaji nk...vyama vya upinzani vichukue jukumu la dhati kuhakikisha kuwa vijana wa chama, wenye imani na vyama hivi wanapata nafasi hizo. Kuanzia kwenye kuhimiza wajiunge mpaka ku-lobby pale inapowezekana ili navyo viwe na watu wao huko.

Je, wewe unashauri mbinu gani itumike kuidhoofisha CCM na/au kuimarisha vyama vya upinzani?
Sawa nakubaliana na wewe KWamba ccm ipo karibu na vyombo vya dola na ina makada wa siri ,hilo halipingiki ikizingatiwa tz imekua chini ya mfumo wa chama kimoja kabla mfumo wa vyama vingi,hivyo wapo wazee waliofanya huko KAZI ,na wanawatoto,wajukuu na vitukuu,ambao waliwezeshwa na wazazi wao kupata connection ,na ni lazima fuata mfumo wa waliowapa connection japo sio wote wanaweza kuwa na msimamo Kama wao waliowapa connection huko kwenye mioyo yao.

Lakin pia elewa na nakwambia KILA ofisi tz pia wapo watumishi wenye itikadi tofauti na chama tawala(ccm) japo ni siri ya mtu, na KWa kuamini hili why mipango ya chama tawala na serikali wapinzani zinawafikia mapema au zinavuja KWa wapinzani,
Mfano tu wakati jpm akiwa aonekani ,na wananchi tukidanganywa ila taarifa ilikua tiyari mezani Chadema na ikachokozwa Makam mwenyekiti Chadema mh Lissu.
Hivyo KWa mbinu ulioitaja WENDA wapinzani walisha ifanyia KAZI na inafanyiwa KAZI kadri siku zinavyoenda

KINGINE nakuja katika mfano wa Zambia, Rungu alikua karibu Sana na vyombo vya Dola, alikua jeuri kweli kweli, lakini nini kilitokea,?

Kilichotokea wananchi wakasema si upo na mfumo kuanzia vyombo vya dola ,tume ina watu wako, Sasa tunapiga kura tunalinda kura mbwaimbwai, leo wananchi wa Zambia Wanaelekea kwenye asali na maziwa, hivyo

Bila kujali upo karibu na vyombo vya dola,au umejichimbia vipi ,wenye nchi wakiamua watakuto tu pitia sanduku la kura au vyovyote vile
Habari za asubuhi wanajamvi.

Nimekuwa nikitafakari sana hali ya kisiasa nchini. Ni ukweli ulio wazi kuwa Chama tawala (CCM) ni chama kikubwa, chenye rasilimali watu na fedha pamoja na kufanya kazi kwa ukaribu na vyombo vya ulinzi na usalama, bila kusahau tentacles zake ziko kwenye kila eneo la serikali. Hizi ni facts, ni hali halisi kwa ground ambazo hatuwezi kupingana nazo au kujidanganya kuwa hazipo.

Kwa kutambua hilo, mbinu zozote za kupambana na CCM ni lazima zijumuishe ukweli huo. Ningependa kupata mawazo ya wadau, kama una mbinu yoyote inayozingatia hali halisi niliyoeleza tushauriane hapa. Mimi naanza na moja;

Kwa kuwa CCM ina watu kwenye vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na serikali, nashauri vyama vya upinzani navyo kuanza ku-recruit au kupandikiza watu huko. Mfano, kunapotokea kuna ajira za polisi/TRA/Uhamiaji nk...vyama vya upinzani vichukue jukumu la dhati kuhakikisha kuwa vijana wa chama, wenye imani na vyama hivi wanapata nafasi hizo. Kuanzia kwenye kuhimiza wajiunge mpaka ku-lobby pale inapowezekana ili navyo viwe na watu wao huko.

Je, wewe unashauri mbinu gani itumike kuidhoofisha CCM na/au kuimarisha vyama vya upinzani?
 
Mie ni Mtanzania kabisa na sijawahi kupita jeshi lolote (iwe mgambo au JKT). Nimeomba kupata mbinu za kuidhoofisha na baadae kuishinda CCM, CCM sio serikali ni chama tu cha siasa kama kilivyo TLP & Jahazi Asilia. Unaweza kunisaidia mbinu gani vyama vya upinzani vitumie ili kuishinda CCM?
Andika mawazo yako na yapeleke Wizara ya Ulinzi na Mambo ya Ndani, au kambi yoyote ya jeshi/polisi.
Kesi utakayoipata, hii ya Mbowe itakuwa cha mtoto.
 
Hakuna mbinu yoyote kutoka nje inayoweza kutumika kuiondoa CCM madarakani. Ni Watanzania wachache wanaofikiria mambo ya siasa kama wewe, Watanzania walio wengi wako kwenye habari za Zuchu, Diamondo, Ali Kiba, Amber rutty, Manara, Simba na Yanga na kujikomba kwa yeyote atakayekuwa Ofisi namba moja.

CCM itaondoka madarakani kwa kugawanyika yenyewe ndani kwa ndani. Mataga wanaweza kuwa chanzo cha CCM kumong'onyoka japo wanadharauliwa na hawatiliwi maanani, ila mataga ni kundi kubwa ndani ya chama ambalo linaona limesalitiwa na lingetaka mambo yaendeshwe kijiwe na sio kama yanavyokwenda hivi sasa.
Mkiulizwa nyie wachache msiowaza mambo ya Diamond na Ali kiba muda wote mnawaza mambo ya msingi ni kipi mmefanya hadi sasa tofauti na kuishia kukosoa na kujadili siasa humu JF? Jibu hakuna.

2015 mlionganisha nguvu na kumtanguliza mtu ambaye alionekana ana ushawishi mkubwa kwa watu hivyo mkadhani mtaweza kumshinda ccm kwa wingi wa kura kana kwamba tatizo lilikuwa ni uchache wa kura.
 
Shukrani sana kaka. Follow up question, je inawezekana ku-accelerate hili la Mataga mfano?
Haiwezekani kwa sababu Mataga ni kundi lisilotaka kuwa karibu na yoyote asiye CCM, Mataga kama Polepole ni watu ambao wangefurahi sana kama nchi hii ingegeuzwa ya chama kimoja hata kwa sheria kama enzi za Mwalimu.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom