STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,770
- 553
Mbinu ya Kulinda Kura za Joshua Nassari Arumeru Mashariki...
1. Kila mpiga Kura ahakikishe anawahi mapema na Kupiga kura.
2. Kila moja wetu ahakikishe anakaa nje ya mita 100 kutoka kituo cha kupigia Kura.
3. Hakuna kumwogopa mtu yeyote awe Askari etc.
4. Kukesha kwenye kituo hadi matokeo yatangazwe...
5. Hakuana Mtu au Gari yeyote kwenda kwenye eneo la kuhesabia kura mpaka likaguliwe ikiwa nje ya mita 100.
6. Kusindikiza masanduku ya kura hadi kituo kikuu cha kuhesabia kura.. Ofisi za halimashauri.
7. Kukesha kwenye kituo cha kutangazia matokeo hadi matokeo yatakapotangazwa kituo kwa kituo na Jumla kuu..
Hizi Mbinu ndizo zilizosaidia kwa Nyamagana, Karatu, Arusha Mjini Ubungo, Kawe etc.
Tusonge Mbele Peoples Power.
1. Kila mpiga Kura ahakikishe anawahi mapema na Kupiga kura.
2. Kila moja wetu ahakikishe anakaa nje ya mita 100 kutoka kituo cha kupigia Kura.
3. Hakuna kumwogopa mtu yeyote awe Askari etc.
4. Kukesha kwenye kituo hadi matokeo yatangazwe...
5. Hakuana Mtu au Gari yeyote kwenda kwenye eneo la kuhesabia kura mpaka likaguliwe ikiwa nje ya mita 100.
6. Kusindikiza masanduku ya kura hadi kituo kikuu cha kuhesabia kura.. Ofisi za halimashauri.
7. Kukesha kwenye kituo cha kutangazia matokeo hadi matokeo yatakapotangazwa kituo kwa kituo na Jumla kuu..
Hizi Mbinu ndizo zilizosaidia kwa Nyamagana, Karatu, Arusha Mjini Ubungo, Kawe etc.
Tusonge Mbele Peoples Power.