Mbinu mpya ya kukataa mwanaume

Mbinu mpya ya kukataa mwanaume

Nshawaambia watu mara kibao...dem ukimtongoza au kum chase around una haribu....ww andaa mazingira au jiweke in a certain way akuone you are the big prize to be won...watakuja tu, then chombeza kidogo akiingia kingi una tafuna.

Sasa jinsi ya kujiweka au kujinadi in a smart way ni usharp na ubunifu wako tu. Ila on my case i dnt use much energy acting that way cz i am living that way (ndio nko hvyo) nachombeza wakishoboka natafuna.

Ila angalieni sana na wanawake wa kugonga...wengine ma scraper usije kwaa miwaya (Play it Smart, Play it Safe).
Nasaha hizi njema.99's babies hawawez kuelewa.heko kwako mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom