Kwahyo mkuu mada yako unataka watu waikubali tu ila wasichallege sioKama jina yako babu....chill,km vipi pita![]()
![]()
Nasaha hizi njema.99's babies hawawez kuelewa.heko kwako mkuuNshawaambia watu mara kibao...dem ukimtongoza au kum chase around una haribu....ww andaa mazingira au jiweke in a certain way akuone you are the big prize to be won...watakuja tu, then chombeza kidogo akiingia kingi una tafuna.
Sasa jinsi ya kujiweka au kujinadi in a smart way ni usharp na ubunifu wako tu. Ila on my case i dnt use much energy acting that way cz i am living that way (ndio nko hvyo) nachombeza wakishoboka natafuna.
Ila angalieni sana na wanawake wa kugonga...wengine ma scraper usije kwaa miwaya (Play it Smart, Play it Safe).
Nasaha hizi njema.99's babies hawawez kuelewa.heko kwako mkuu
WordUkiwa king'ang'anizi ndio utakapoanza kupika huku wenzako wakipakua
Demu wa maana hapatikani kwa pesa, huyo ni demu wa laana hupatikana kwa pesaBila pesa hupati demu wa maana
Falsafa yangu ya mapenzi huniambia kuwa penzi halibembelezwi bali huimarishwa maana huwa unalikuta tayari lipo kwa yule akupendae.....Word