KikulachoChako si wote wana uelewa,na kama uzi unavyosema this method isn't applicable kwa woote,Ila kina nanii,waliostuka it's the best option kumtimua mtu.Bado vijana wapo na fikra za kwenye zama za mawe kwenye wakati huu wa sayansi ya teknolojia....
Mimi wote waliowahi kunikataa waliniambia LIVE kuwa KikulachoChako sikutaki kwa sababu hunivutii...na mimi bila ya kupoteza napangusa makalio nachapa lapa.....
Mkuu uzi huu unatokana na nyuzi za malalmiko ya wakak kuwa unamsalimia binti asubuhi(salam hii ni ile yenye walakini),jion anakupiga kizinga....To Me I call it, a childish game.. If you don't want someone just tell them the truth why wasting the time .. Huku ni kutojiaamini and not sure for what she is about to say.. Thanks..
Hahaha...kabanga we noma kwa majibu yakoUnazungumzia nini...!?
Jiheshimu uheshimiwe.......never underestimate pipo u don't know.....
Mkuu uko vizuri sanaNshawaambia watu mara kibao...dem ukimtongoza au kum chase around una haribu....ww andaa mazingira au jiweke in a certain way akuone you are the big prize to be won...watakuja tu, then chombeza kidogo akiingia kingi una tafuna.
Sasa jinsi ya kujiweka au kujinadi in a smart way ni usharp na ubunifu wako tu. Ila on my case i dnt use much energy acting that way cz i am living that way (ndio nko hvyo) nachombeza wakishoboka natafuna.
Ila angalieni sana. na wanawake wa kugonga...wengine ma scraper usije kwaa miwaya (Play it Smart, Play it Safe).
Mkuu uko vizuri sana
Si ndio hapo....kama ukikataliwa Mara moja unapangusa kalio na kusepa... Naona utawapata wale warahisi tuu....kuna watu paka uwa force...ndio wanakuwa happy na na kujiridhisha kwamba they are loved and valued....Teh teh..Hauna zile za kufosi kingi?..
Utaingianchaka..pesa utapewaa na utapewaa mwishowe utaachia Khahaha ngoja niiaply kwa huyu jirani yangu,.