Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,701
Play and act smart....umenikumbusha enzi hizoo...
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai
Hahaha usharp wako tu.
At some point ukitongoza tongoza sana women find u broke (u seem desperate). Just be a gentleman, upto standards, mkarimu na kuwa mcheshi (ukiwa mropokaji unafeli). Utawala utawaacha mwenyewe.
Dem ataanza vp kukupiga mizinga mikubwa kiboya boya hvyo (anakutema kiaina). It just dnt make sense. Maisha yenyewe haya.
Ndio pale watu wanadata wanaona msela hana kitu lakini anapendwa na totoz tu na kuwapiga kisela, on the side huku msela analia lia kweli. Lol