careenjibebe
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,604
- 1,646
Niende tu kwenye point moja kwa moja!
Kama Mwanasiasa huna hela na una nia thabiti ya kusaidia jimbo lako na unaishi jimboni kiasi kwamba kila mtu anakuona je? Utumie mbinu gani ili ushinde?
Hasa ukizingatia watanzania walio wengi hasa vijijini wakijua wewe ni mtia nia tu wanaanza kukupiga vizinga kila wanapopata kukuona au kukupigia simu?
Kama Mwanasiasa huna hela na una nia thabiti ya kusaidia jimbo lako na unaishi jimboni kiasi kwamba kila mtu anakuona je? Utumie mbinu gani ili ushinde?
Hasa ukizingatia watanzania walio wengi hasa vijijini wakijua wewe ni mtia nia tu wanaanza kukupiga vizinga kila wanapopata kukuona au kukupigia simu?