Mbinu gani ulitumia kufaulu mitihani yako ngazi ya CSEE?

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Apr 29, 2016
20,744
25,446
Habari za weekend wana jukwaa hili la pendwa la Elimu(Education Forum)?

Poleni sana na majukumu.
Mimi ni Kijana wa miaka 19 nategemea kurisiti mwaka huu masomo ya
-History
-Geography
-English Language na
-Civics
Ngazi ya CSEE.

Jambo lililonifanya niandike thread hii ni kuomba ushauri na kuwauliza baadhi ya wanaJF wenzetu ambao wengine wapo Vyuo Vikuu au Advance Level ni mbinu gani waliyoitumia?

Binafsi mimi baadhi ya mbinu niliyotumia kifaulu baadhi ya masomo ni pamoja na

1.UBINAFSI WA KIJISOMEA
753ba4781530b4d457c3d0496ee79c7d.jpg

Sio Kama nilipenda kuwa mbinafsi la hasha kuna baadhi ya wanafunzi wenzangu hata nikiwaomba wanielekeze walikuwa wananikatalia kwasababu mimi ni kiziwi.
Hilo liliwafanya waone shida kunielekeza jambo lililopelekea kukaa pekee yangu na kujisomea.

5a125f495618c8b8508d46fb53c504bd.jpg
 
Unamaanisha nini mkuu cephalocaudo tufafanulie
1. kwanza mtangulize Mola wako kwa kila jambo unalolifanya.
2. Jibidiishe katika shughuli Nyingine mbali na kusoma ambazo tunaziita extra curriculum activities.
3. Jibidiishe katika kusoma kwa moyo wako wote, sacrifice vitu ambavyo havina tija kwa sasa, devote most of your time kwenye kusoma(not all the time)
4. Tenga muda wa kupumzisha mwili wako kila baada ya shugul za kila siku.
 
Habari za weekend wana jukwaa hili la pendwa la HNM?

Poleni sana na majukumu.
Mimi ni Kijana wa miaka 19 nategemea kurisiti mwaka huu masomo ya
-History
-Geography
-English Language na
-Civics
Ngazi ya CSEE.

Jambo lililonifanya niandike thread hii ni kuomba ushauri na kuwauliza baadhi ya wanaJF wenzetu ambao wengine wapo Vyuo Vikuu au Advance Level ni mbinu gani waliyoitumia?

Binafsi mimi baadhi ya mbinu niliyotumia kifaulu baadhi ya masomo ni pamoja na

1.UBINAFSI WA KIJISOMEA
753ba4781530b4d457c3d0496ee79c7d.jpg

Sio Kama nilipenda kuwa mbinafsi la hasha kuna baadhi ya wanafunzi wenzangu hata nikiwaomba wanielekeze walikuwa wananikatalia kwasababu mimi ni kiziwi.
Hilo liliwafanya waone shida kunielekeza jambo lililopelekea kukaa pekee yangu na kujisomea.

5a125f495618c8b8508d46fb53c504bd.jpg


Asanteni
 
1. kwanza mtangulize Mola wako kwa kila jambo unalolifanya.
2. Jibidiishe katika shughuli mbali mbali na kusoma ambazo tunaziita extra curriculum activities.
3. Jibidiishe katika kusoma kwa moyo wako wote, sacrifice vitu ambavyo havina tija kwa sasa, devote most of your time kwenye kusoma(not all the time)
4. Tenga muda wa kupumzisha mwili wako kila baada ya shugul za kila siku.
Shukran mkuu cephalocaudo ili kuna majamaa wananikera sana shuleni
 
Habari za weekend wana jukwaa hili la pendwa la Elimu(Education Forum)?

Poleni sana na majukumu.
Mimi ni Kijana wa miaka 19 nategemea kurisiti mwaka huu masomo ya
-History
-Geography
-English Language na
-Civics
Ngazi ya CSEE.

Jambo lililonifanya niandike thread hii ni kuomba ushauri na kuwauliza baadhi ya wanaJF wenzetu ambao wengine wapo Vyuo Vikuu au Advance Level ni mbinu gani waliyoitumia?

Binafsi mimi baadhi ya mbinu niliyotumia kifaulu baadhi ya masomo ni pamoja na

1.UBINAFSI WA KIJISOMEA
753ba4781530b4d457c3d0496ee79c7d.jpg

Sio Kama nilipenda kuwa mbinafsi la hasha kuna baadhi ya wanafunzi wenzangu hata nikiwaomba wanielekeze walikuwa wananikatalia kwasababu mimi ni kiziwi.
Hilo liliwafanya waone shida kunielekeza jambo lililopelekea kukaa pekee yangu na kujisomea.

5a125f495618c8b8508d46fb53c504bd.jpg
Sikuwahi kuwa na akili kubwa sana darasani na nilikuwa mtu wakawaida ila nilipenda kutumia extra time kujisomea binafsi na kwenda discussion na kila nilipomaliza kusoma ilikuwa nilazima nimshukuru Mungu, sikuwa msomaji sana ila nikiamua saa 2 nisome basi natumia effectvely huo muda
 
Sikuwahi kuwa na akili kubwa sana darasani na nilikuwa mtu wakawaida ila nilipenda kutumia extra time kujisomea binafsi na kwenda discussion na kila nilipomaliza kusoma ilikuwa nilazima nimshukuru Mungu, sikuwa msomaji sana ila nikiamua saa 2 nisome basi natumia effectvely huo muda
Hongera sana mkuu WAR
 
Jiulize kwanza kwanini ulifeli?

Jee hizo sababu bado zina exist?

Kama Yes usi re sit mpaka uziondoe

Kama umesoma physics kwa Miaka minne ukaja ukapata F sio kazi nyepesi japo inawezekana kupata B kwa maandalizi mapya ya Miezi isiyozidi 9!
 
Back
Top Bottom