Sala na kaziOral et labora
ShukranSala na kazi
d̲̅u̲̅u̲̅h̲̅ u̲̅p̲̅o̲̅ f̲̅o̲̅r̲̅m̲̅ f̲̅o̲̅u̲̅r̲̅ n̲̅w̲̅ a̲̅f̲̅ h̲̅u̲̅n̲̅a̲̅ e̲̅x̲̅p̲̅e̲̅r̲̅i̲̅e̲̅n̲̅c̲̅e̲̅!!!?dah! mm ndo nipo 4m4 mwaka huu! cna experience hiyo.
mkuu! huyu anauliza mbinu kwa waliohitimu CSEE, sasa mm cna eperience hiyo labda mwakani nitampa maana ntakuwa nshamaliza 4m4.d̲̅u̲̅u̲̅h̲̅ u̲̅p̲̅o̲̅ f̲̅o̲̅r̲̅m̲̅ f̲̅o̲̅u̲̅r̲̅ n̲̅w̲̅ a̲̅f̲̅ h̲̅u̲̅n̲̅a̲̅ e̲̅x̲̅p̲̅e̲̅r̲̅i̲̅e̲̅n̲̅c̲̅e̲̅!!!?
Kibongo bongo usikomae sana kusoma notes komaa na kusolve past papers tu ,utapata mabandaa mpaka utajishangaa.Habari za weekend wana jukwaa hili la pendwa la Elimu(Education Forum)?
Poleni sana na majukumu.
Mimi ni Kijana wa miaka 19 nategemea kurisiti mwaka huu masomo ya
-History
-Geography
-English Language na
-Civics
Ngazi ya CSEE.
Jambo lililonifanya niandike thread hii ni kuomba ushauri na kuwauliza baadhi ya wanaJF wenzetu ambao wengine wapo Vyuo Vikuu au Advance Level ni mbinu gani waliyoitumia?
Binafsi mimi baadhi ya mbinu niliyotumia kifaulu baadhi ya masomo ni pamoja na
1.UBINAFSI WA KIJISOMEA
Sio Kama nilipenda kuwa mbinafsi la hasha kuna baadhi ya wanafunzi wenzangu hata nikiwaomba wanielekeze walikuwa wananikatalia kwasababu mimi ni kiziwi.
Hilo liliwafanya waone shida kunielekeza jambo lililopelekea kukaa pekee yangu na kujisomea.
pw mkuu me nko kitaa nasubiria post sijui watatoa lini hawa watumkuu! huyu anauliza mbinu kwa waliohitimu CSEE, sasa mm cna eperience hiyo labda mwakani nitampa maana ntakuwa nshamaliza 4m4.
kwenye mwezi wa 5 mwishoni au wa 6 mwanzoni,pw mkuu me nko kitaa nasubiria post sijui watatoa lini hawa watu