Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,224
Ilikuwa hivi,,katika nchi ya sumeria watu walianza kuwa civilized na kuanza kuishi pamoja,baadae kidogo kukatokea mtawala akiitwa hammurabi akaandika sheria za kuguide raia wake,kipindi hicho ,jamii zikaanza kuunda tawala,kukawepo akaddian kingdom,ikazaa mesopotamia na kisha ikazaa Asyrian,hawa asyrian ulikuja kuwa utawala wa nguvu baada ya kuupindua utawala wa babelyon.Story ya Adam na Hawa ni ngumu.
So miongoni mwa watawala wa mwanzo wa Asyrian,alikuwepo ADAM,
Fastforward,waandishi wa kiyahudi sasa kwa kusikia habari za Adam mfalme wa asyrian,,katika fasihi zao ndo wakaja na habari miaka mingi mbele kuwa Adam ndo kiumbe cha mwanzo kuumbwa.