Mbinga: CCM chali, CHADEMA kidedea

Kila kamanda atoe elimu kwa kutumia text msg ,anglau kumi kwa week huko kijijini kwake.Atoe elimu ya hali yake kama raia wa Tanzania.Hasiogope kitu kuhusu mabadiliko.mtolee mifano .kuwa mbona Malawi wamebadilisha utawala.mbona zambia wamebadilisha utawala,mbona ghana wanabadilisha utawala.wasidanganywe na mafisadi.M4C KWA KUTUMIA SIMU SASA HIVI HATULALI KABISAAAAA.
 
Hata wewe upo sahihi kwa upeo wako hasa ukizingatia jinsi tulivyowafanya kitu mbaya Iramba
nasikia mwigulu aliwapiga mkwara wanyiramba wakichagua chadema mapolis hawatalala kwa ajili ya kuwashughulikia wananchi! Pia aligawa takrima kama ananawa vile!
 

Mkuu Crashwise ume-mbeep vuvuzela Nnape juu ya hili? Duh, sijuwi kweli kama vuvuzela lile litalala usingizi leo maana kwa vyovyote vile atakuwa anaogopa kusutwa na viongozi wake kwa kuwa hajapiga kelele za kutosha.
 
Last edited by a moderator:
Ungejua amani makoro ni sehemu ngumu sana kushinda.kwani ni nyumbani kwa Mkuu wa mkoa wa zamani ambaye aliyeleta maendeleo Ruvuma yote,mbaka hapo amani makoro.sasa unaonaje?.huu ni ushindi mkubwa kwa chadema.sio mchezo .garagaza haooooooooooooo mafisadi mpaka wanyooke.
 
Watu wamechoka bhana!kila siku tu kuwaimbisha "chama chetu cha mapinduzi chajenga nchi".Sasa wameanzisha kibwagizo chao wenyewe kwa melody ile ile!wasikie eti wanaimba "chama feki cha matanuzi chachosha nchi!"
 
Hizo ni habari nzuri sana zinaleta usingiziiiiiiiiiiiii hadi raha
 
viva cdm endelea kuchanya mbuga,wananchi wamechoka na wahujuma nchi yetu,kila mahali hali mbaya si vijijini wala mjini, elimu ya nchi yetu hali mbaya,huduma za maji ,umeme,afya ,miundo mbinu n.k kote hali mbaya,
 
Nikisikia habari njema kama hizi moyo. Wangu hujawa na furaha tele....Mungu ibariki chadema.maccm zika kabisa fukia!
 
me hata sishangilii utasikia wiki ijayo komba kaenda na m/kiti kajiuzulu eti amekosa ushirikiano na amegundua CHADEMA ni chama cha vurugu na udini. Mi CCM banaa. Hlf CHADEMA wanakaa kimya tu ile ya Tanga hata sijasikia chochote mpaka leo.
 
Sii Komba alisema chadema haipo mbinga?kudadeki jeuri kwisha kazi.yeye aendelee kusinzia bungeni

Huyu ni moja ya mbunge ambae hatorudi tena bungeni maisha yake yote sasa ataenda kusinzia sebuleni kwa lulu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…