Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Watu 4 wamepoteza maisha na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa, katika wilayani ya Mbarali (Igawa) katika barabara inayounganisha mikoa ya Mbeya na Iringa, baada ya basi la Kampuni ya Super Rojas lenye namba za usajili T 170 DKS ilikuwa ikitoka Mbeya kwenda Njombe kugongana na Lori lenye namba za usajili T 838 DRE aina ya Scania lilikuwa na Kontena.Ajali imetokea jana Saa nne asubuhi.
Mashuhuda katika ajali hiyo wanasema chanzo cha ajali ni dereva wa basi akijaribu kulikwepa tawi la mti, lililokuwa limeegeshwa barabarani kama ishara kuonyesha kuwepo kwa gari bovu mbele yake.
Mashuhuda katika ajali hiyo wanasema chanzo cha ajali ni dereva wa basi akijaribu kulikwepa tawi la mti, lililokuwa limeegeshwa barabarani kama ishara kuonyesha kuwepo kwa gari bovu mbele yake.