Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

BumbleBeeBot

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2015
Posts
280
Reaction score
439
Wakubwa mi nimeishi Dar, Kibaha na sasa Mbeya (mjini). Aisee hapa Mbeya wadada wengi ni bed to bed midfielder. Labda kwasababu mgeni sielewi sana maeneo, ila wadada wengi ukitongoza mmekutana kabwe, mwanjelwa, soweto mpaka Sae ni wapo kimkakati sana usiombe ukutane na mdada akwambie anaishi Ilomba.

Kwa nje ni wastaarabu ila shika simu, hukosi Tinder na badoo, kama ukikosa hivyo ukiwa na namba yake utamuona kama suggestions kwenye IG au FB ukichungulia huko ndio unapata picha yake sasa. Ah wadada wa Mbeya aisee, kabwe jioni pale kama watu vile. Kila nikisema nitulie na huyu lazima nione jambo, wanachosha kinoma.
 
Wakubwa mi nimeishi Dar, Kibaha na sasa Mbeya (mjini). Aisee hapa Mbeya wadada wengi ni bed to bed midfielder. Labda kwasababu mgeni sielewi sana maeneo, ila wadada wengi ukitongoza mmekutana kabwe, mwanjelwa, soweto mpaka Sae ni wapo kimkakati sana, usiombe ukutane na mdada akwambie anaishi Ilomba. Kwa nje ni wastaarabu ila shika simu, hukosi Tinder na badoo, kama ukikosa hivyo ukiwa na namba yake utamuona kama suggestions kwenye IG au FB ukichungulia huko ndio unapata picha yake sasa. Ah wadada wa Mbeya aisee, kabwe jioni pale kama watu vile. Kila nikisema nitulie na huyu lazima nione jambo, wanachosha kinoma.
Chai
 
Wakubwa mi nimeishi Dar, Kibaha na sasa Mbeya (mjini). Aisee hapa Mbeya wadada wengi ni bed to bed midfielder. Labda kwasababu mgeni sielewi sana maeneo, ila wadada wengi ukitongoza mmekutana kabwe, mwanjelwa, soweto mpaka Sae ni wapo kimkakati sana, usiombe ukutane na mdada akwambie anaishi Ilomba. Kwa nje ni wastaarabu ila shika simu, hukosi Tinder na badoo, kama ukikosa hivyo ukiwa na namba yake utamuona kama suggestions kwenye IG au FB ukichungulia huko ndio unapata picha yake sasa. Ah wadada wa Mbeya aisee, kabwe jioni pale kama watu vile. Kila nikisema nitulie na huyu lazima nione jambo, wanachosha kinoma.
Wewe kibaha ni dar?
 
Alokwambia uje kuniuzia uoga kuhusu wadada wa mbeya mwambie nimesema hujanikuta. Hao watu wewe umekutana na mjini mbeya toka kidogo nje ya mji upate mdadc wa maana sio hao majambazi ndugu yangu
Mkuu ni kweli hawa madada wa town wengi majambazi, unaweza ona binti yuko smart, innocence face ukasema umepata. Kumbe...
 
Wakubwa mi nimeishi Dar, Kibaha na sasa Mbeya (mjini). Aisee hapa Mbeya wadada wengi ni bed to bed midfielder. Labda kwasababu mgeni sielewi sana maeneo, ila wadada wengi ukitongoza mmekutana kabwe, mwanjelwa, soweto mpaka Sae ni wapo kimkakati sana, usiombe ukutane na mdada akwambie anaishi Ilomba. Kwa nje ni wastaarabu ila shika simu, hukosi Tinder na badoo, kama ukikosa hivyo ukiwa na namba yake utamuona kama suggestions kwenye IG au FB ukichungulia huko ndio unapata picha yake sasa. Ah wadada wa Mbeya aisee, kabwe jioni pale kama watu vile. Kila nikisema nitulie na huyu lazima nione jambo, wanachosha kinoma.
Ndo kizazi cha mtandao mwanangu
 
Kweli mtoa mada mgeni wa MBY. 😁
Mbeya ipo kimkakati bwamdogo, back in the days hapo, tukiwa mayanki wa kula bata, tulikuwa hatuchukui mademu wa mitaa iyo unayoisema. Mwiko kabisa.
Tulikuwa tunakwenda kwenye mashule, vyuoni, uzunguni kule, uhindini na sokomatola hapo, na kwenyewe tunadaka wale wakutoka mikoa tulivu kama Rukwa au Sumbawanga huko wanaokuja kusoma chuo au advance, wanakuwa bado hawajawa wajanja wajanja. 😁

We kweli unaenda chukua manzi tena wa barabarani Mafiati, Kabwe au Mwanjelwa. 😁
Bora hata Isanga kule unaweza pata demu muoga wa kuuza mbususu.

Ushauri : Usipotuliza wenge hapo Mbeya na kujipa mda kuielewa Mbeya, mwaka mmoja tuu unapata UKIMWI hapo. Stuka mzee, mbeya akili kumkichwa. 😊

Wanyakyusa wanamsemo wao maarufu sana mitaa ya Karume hapo, wanasema "Mbeya ndipo iliungua shoka, ikabaki mpini". Waya/moto/gridi hapo Mbeya ni wa kugusa tuu. 😁
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom