min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,043
- 126,620
SingidanišWa wapi wametulia mwanetu?
SingidanišWa wapi wametulia mwanetu?
Ah kwakweliDogo maisha ni mbinu, upwiru samtaimu ukiuendekeza jau. š
Haya mambo hayakwepeki mkuuMbona kama umekosa kazi ya maana ya kufanya huko Mbeya?
Sio kwamba mi nipo ila napendaga kuangalia simu tu ya mtu, ile kutupia tupia jicho nini kinaendelea. Tabia ya mtu siku hizi ipo kwenye simu aisee.Kwahiyo kuijua Tinder na badoo ndio kipimo cha kutokutulia?
Vipi kuhusu wadada wanaojiuza live bila kutumia hiyo mitandao,wao wanakua wametulia coz hawaijui hiyo mitandao?
Wewe hua unaenda kwenye hiyo mitandao kufanya nini? huoni kua na wewe una mchango katika kutokutulia kwao coz hakuna supply bila demand kwenye biashara.
Ni hatari mzee, wadada wa ilomba jau kinoma noma.Yaani kule mdada anaishi Ilomba lakini network yake inasoma mpaka Tunduma, na bado anakuambia "nimepoa home nakuwaza wewe tu."
Mbeya mjini ni kama soko la Mwanjelwa kila mtu ni mteja na kila bidhaa ina ofa, ukiona mdada mstaarabu sana kule, jua huyo ni guest Player ametokea mkoani.
Ukitaka wa kutulia naye Mbeya labda uhamie milimani kule Rungwe, maana hapo mjini kati ni mwendo wa pasi fupi fupi na kukaba kote kote!
Hawataki kukubališHuo ndo ukweli, watu watakuja na reply zao kuniuliza Hadi mama yangu yupo kwenye list, utadhani kuna mama mwanaume š
Alisoma kwa wenge huyo mi sikuandika Kibaha ni DaršMuache mtoto
Uliandikaje sasa, tunakutetea alaf unataka kuharibu tena sio! à ½Ć¸à ½Ć¸à ½ĆĀøAlisoma kwa wenge huyo mi sikuandika Kibaha ni Darà ½ĆĀø
Nimeandika nimeishi Dar, Kibaha na sasa nipo Mbeya. Au mulitaka niandike Dar na Kibaha Na Mbeya?Uliandikaje sasa, tunakutetea alaf unataka kuharibu tena sio! à ½Ć¸à ½Ć¸à ½ĆĀø
Wengine tunavichwa mininga. Mpaka kuelewa vitu vidogo hivo imekua changamoto ššššUngesema Dar, Pwani na sasa Mbeya
Tulia, usiwakumbushe hii topic maana kwa kweli tumepumzika sana na masimango šSingidaniš
š iramba moja hiyoTulia, usiwakumbushe hii topic maana kwa kweli tumepumzika sana na masimango š
Wakituanza huwa hatupumuiā¦.
Hii topic wanaume wa JF utashikana naoKwahiyo kuijua Tinder na badoo ndio kipimo cha kutokutulia?
Vipi kuhusu wadada wanaojiuza live bila kutumia hiyo mitandao,wao wanakua wametulia coz hawaijui hiyo mitandao?
Wewe hua unaenda kwenye hiyo mitandao kufanya nini? huoni kua na wewe una mchango katika kutokutulia kwao coz hakuna supply bila demand kwenye biashara.
MhWakubwa mi nimeishi Dar, Kibaha na sasa Mbeya (mjini). Aisee hapa Mbeya wadada wengi ni bed to bed midfielder. Labda kwasababu mgeni sielewi sana maeneo, ila wadada wengi ukitongoza mmekutana kabwe, mwanjelwa, soweto mpaka Sae ni wapo kimkakati sana usiombe ukutane na mdada akwambie anaishi Ilomba.
Kwa nje ni wastaarabu ila shika simu, hukosi Tinder na badoo, kama ukikosa hivyo ukiwa na namba yake utamuona kama suggestions kwenye IG au FB ukichungulia huko ndio unapata picha yake sasa. Ah wadada wa Mbeya aisee, kabwe jioni pale kama watu vile. Kila nikisema nitulie na huyu lazima nione jambo, wanachosha kinoma.