Mbeya vs Dar es Salaam wapi kupo poa?

Mbeya vs Dar es Salaam wapi kupo poa?

Japokua naishi Dar es Salaam, binafsi nakupenda Mbeya kwasababu zifuatazo.

1. Mbeya kuna hali ya hewa nzuri ambayo hata mgeni kutoka Ulaya lazima aipende.
2. Mbeya kuna vyakula vingi vitamu na vya kila aina na vya bei ndogo.
3. Mbeya kuna mazingira mazuri ya kusomea
4. Mbeya unakunywa maji ya kisima😋😋😋😋😋😋😋😋Mbeya unafulia maji ya kisima.
5. Mbeya ukiagiza chakula hotelini maji ya kunywa unamiminiwa kutoka kwenye majagi maalumu. Na hayo maji yanachotwa kwenye ndoo tu. Kitu kimetulia cha baridiii
6. Mbeya kuna AC za asili, ukilala ukijifunika blanket unaweza sahau kwenda kazini. Usingizi mtamuuuu. Hii Christmas nataka nikale Mbeya, maeneo ya Soweto.

Japo naishi Dar ila huwa napenda sana ningeishi Mbeya. Dar kuna mbu sana mpaka kero nyieee, Dar unalala ndani ya chandarua. Dar maji ya kunywa ni shida, Dar maji ya kufulia ni shida, Dar maji ya kuoga ni shida.

Hii ndio imenipa akili ya kuanza mkakati wa kufungua kiwanda cha Kuchukua maji ya bahari ya Hindi na kuondoa chumvi, ili kupata maji safi na salama.

Lakini pia kuna vimashine nitawauzia wakazi wa Dar es salaam waliochimba visima vyenye maji ya chumvi, vitakua vinatumia solar kutoa chumvi kwenye maji ya kisima. Sasa wakazi wataweza kupata maji ya kunywa, kufulia na kuoga majumbani mwao.
Ukiwa unakaa tandale au kwa mnyamani dar utaichukia tu tafuta hela
 
Argument za kitoto.

Shule za sahivi zinafundisha watoto wanatoka vilaza.
 
Japokua naishi Dar es Salaam, binafsi nakupenda Mbeya kwasababu zifuatazo.

1. Mbeya kuna hali ya hewa nzuri ambayo hata mgeni kutoka Ulaya lazima aipende.
2. Mbeya kuna vyakula vingi vitamu na vya kila aina na vya bei ndogo.
3. Mbeya kuna mazingira mazuri ya kusomea
4. Mbeya unakunywa maji ya kisimaMbeya unafulia maji ya kisima.
5. Mbeya ukiagiza chakula hotelini maji ya kunywa unamiminiwa kutoka kwenye majagi maalumu. Na hayo maji yanachotwa kwenye ndoo tu. Kitu kimetulia cha baridiii
6. Mbeya kuna AC za asili, ukilala ukijifunika blanket unaweza sahau kwenda kazini. Usingizi mtamuuuu. Hii Christmas nataka nikale Mbeya, maeneo ya Soweto.

Japo naishi Dar ila huwa napenda sana ningeishi Mbeya. Dar kuna mbu sana mpaka kero nyieee, Dar unalala ndani ya chandarua. Dar maji ya kunywa ni shida, Dar maji ya kufulia ni shida, Dar maji ya kuoga ni shida.

Hii ndio imenipa akili ya kuanza mkakati wa kufungua kiwanda cha Kuchukua maji ya bahari ya Hindi na kuondoa chumvi, ili kupata maji safi na salama.

Lakini pia kuna vimashine nitawauzia wakazi wa Dar es salaam waliochimba visima vyenye maji ya chumvi, vitakua vinatumia solar kutoa chumvi kwenye maji ya kisima. Sasa wakazi wataweza kupata maji ya kunywa, kufulia na kuoga majumbani mwao.
Nimezaliwa mbeya uyole, iwambi kote kwangu shida ya mbeya Kuna vumbi sana....!

Kwa sisi wafanyabiashara (sio ya uchuuzi) mbeya hakutufai sio tu kwasababu ya mzunguko mdogo wa pesa lakini pia kupata materials kwa ajili ya uendeshaji wa biashara,

Dar Kuna Kila kitu, mbeya uwa naenda kutembea tuu...!
 
Yaan unafananisha kijiji kikubwa na Jiji.. kweli vijana mmechoka
 
Hizo shida zoote ulizoorodhesha or kero za Dar ukiwa na hela huwezi kuziona.mana maji safi na salama kwa wenye pesa wanayapata vizuri tu.

Hayo maji ya kisima unayopenda ukiwa na pesa utakichimba na maji utayapata.hilo joto ni kwa vile pesa huna ila ukiwa nqzo Dar haina tofauti na njombe na Lushoto.

Vyakula ndio kabisaa utapata ambavyo mbeya huwezi kupata,so kifupi ni kwamba mazingira unayoishi ukiwa Dar ni duni sababu ya kipato kidogo kukuwezesha kumudu gharama za Jiji kubwa kama Dar ukilinganisha na Mbeya.

Mfano mzuri mchukue MTU anaeishi Dar ambae yuko vizuri kiuchumi mmpeleke New York City USA lazima atalia lia kama ambavyo ww unafanya hapa mana gharama za maisha zitakuwa juu ukilinganisha na Dar.

So Omba Radhi kwanza kuilinganisha Dar na Mbeya.

Nadhani ukimuelewa mtoa mada amelinganisha uhalisia wa vitu na si hadhi za watu!
 
Japokua naishi Dar es Salaam, binafsi nakupenda Mbeya kwasababu zifuatazo.

1. Mbeya kuna hali ya hewa nzuri ambayo hata mgeni kutoka Ulaya lazima aipende.
2. Mbeya kuna vyakula vingi vitamu na vya kila aina na vya bei ndogo.
3. Mbeya kuna mazingira mazuri ya kusomea
4. Mbeya unakunywa maji ya kisima😋😋😋😋😋😋😋😋Mbeya unafulia maji ya kisima.
5. Mbeya ukiagiza chakula hotelini maji ya kunywa unamiminiwa kutoka kwenye majagi maalumu. Na hayo maji yanachotwa kwenye ndoo tu. Kitu kimetulia cha baridiii
6. Mbeya kuna AC za asili, ukilala ukijifunika blanket unaweza sahau kwenda kazini. Usingizi mtamuuuu. Hii Christmas nataka nikale Mbeya, maeneo ya Soweto.

Japo naishi Dar ila huwa napenda sana ningeishi Mbeya. Dar kuna mbu sana mpaka kero nyieee, Dar unalala ndani ya chandarua. Dar maji ya kunywa ni shida, Dar maji ya kufulia ni shida, Dar maji ya kuoga ni shida.

Hii ndio imenipa akili ya kuanza mkakati wa kufungua kiwanda cha Kuchukua maji ya bahari ya Hindi na kuondoa chumvi, ili kupata maji safi na salama.

Lakini pia kuna vimashine nitawauzia wakazi wa Dar es salaam waliochimba visima vyenye maji ya chumvi, vitakua vinatumia solar kutoa chumvi kwenye maji ya kisima. Sasa wakazi wataweza kupata maji ya kunywa, kufulia na kuoga majumbani mwao.
1. Mbeya anayosema Mwandishi Maji yake hayafai yana vijidudu hatari ukinywa basi jiandae na Magonjwa yoe ya tumbo yatakuhusu uliza takwimu za Magonjwa yanayoongoza Mbeya.

2. Jiulize kwa nini Wazungu wamejazana Iringa na sio Mbeya hali ya hewa ya Mbeya haifai kwa kuishi binadamu ni kali mno na hapo ni mbeya Mjini na Mbarali kwingine unaweza anika nguo wiki nzima isikauke.

3. Bora vibaka wa Dar mnaweza hata kuburgain wakati amekutaiti ila Mbeya unapigwa nondo ufilie mbali na hapo wanampekua jamaa wanamkuta ana jero.

4. Uchawi na Ushirikina mbeya umekithiri kiasi hata paka akilia mtu anajua karogwa.

5. Ubaguzi na Ukabila Wasafwa na Wanyakyusa , Wamalila, Wasangu, Wabungu, Wandali hadi Wanyiha hawapendani yaani hata ukifungua Biashara utapata tabu kuuza. Wajanja wao ni Wakinga maana wamewazidi uchawi.

6.Mji una vipindi vibaya kama Taleban yaani vumbi tupu yaani vumbi hata dodoma kuna afadhali

7.Miundombinu ni hovyo kabisa yaani wana barabara moja muhimu kama chupa ya chai, nyingine zote ni utopolo

8.Halafu ushamba kwao sifa

9.Vitongoji kama Isanga, Iganzo, Igodima, Ilemi, kagera ,soko matola, ghana, mbata, iyunga ,nzovwe,mabatini, isyesye ,igawilo kote huko ni utopolo tu kidogo Iwambi, new forest na forest ya zamani

10.Vyakula vya aina ya Samaki hadi wa ziwa nyasa bado ni gharama sana au utakula kande kila siku.
 
Hizi mada za kinjuka wanafunzi wa kidato cha kwanza shule ya kata!!! Huwezi kuta MTU timamu anajadili pumba za hivi
 
1. Mbeya anayosema Mwandishi Maji yake hayafai yana vijidudu hatari ukinywa basi jiandae na Magonjwa yoe ya tumbo yatakuhusu uliza takwimu za Magonjwa yanayoongoza Mbeya.

2. Jiulize kwa nini Wazungu wamejazana Iringa na sio Mbeya hali ya hewa ya Mbeya haifai kwa kuishi binadamu ni kali mno na hapo ni mbeya Mjini na Mbarali kwingine unaweza anika nguo wiki nzima isikauke.

3. Bora vibaka wa Dar mnaweza hata kuburgain wakati amekutaiti ila Mbeya unapigwa nondo ufilie mbali na hapo wanampekua jamaa wanamkuta ana jero.

4. Uchawi na Ushirikina mbeya umekithiri kiasi hata paka akilia mtu anajua karogwa.

5. Ubaguzi na Ukabila Wasafwa na Wanyakyusa , Wamalila, Wasangu, Wabungu, Wandali hadi Wanyiha hawapendani yaani hata ukifungua Biashara utapata tabu kuuza. Wajanja wao ni Wakinga maana wamewazidi uchawi.

6.Mji una vipindi vibaya kama Taleban yaani vumbi tupu yaani vumbi hata dodoma kuna afadhali

7.Miundombinu ni hovyo kabisa yaani wana barabara moja muhimu kama chupa ya chai, nyingine zote ni utopolo

8.Halafu ushamba kwao sifa

9.Vitongoji kama Isanga, Iganzo, Igodima, Ilemi, kagera ,soko matola, ghana, mbata, iyunga ,nzovwe,mabatini, isyesye ,igawilo kote huko ni utopolo tu kidogo Iwambi, new forest na forest ya zamani

10.Vyakula vya aina ya Samaki hadi wa ziwa nyasa bado ni gharama sana au utakula kande kila siku.
kwingine unaweza anika nguo wiki nzima isikauke.

Hapo ni njombe, tena sio week tuu hata week 2 nguo haikauki....!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom