Sidhani kama kuna kiwanda cha cement kikongwe kilicholala usingizi kwa Tz kama hiki!Si kuna Mbeya cement?
Unasikia makambako nini?Mkuu huja kosea kabisa yaani hiki kiwanda ni kama hakipo kabisa.
Cement hapa Mbeya wanauza bei juu lkn ukifika Makambako tu hapo nasikia inakuwa chini