kale ni kakimbizi kametoka sudani kusini
Mviziaje tuu, kamekauka utadhani kanakula vumbi LA mbao!
Mviziaje tuu, kamekauka utadhani kanakula vumbi LA mbao!
Station zipo nyingi kama azam2 ina picha clear kushinda tbcccmuongo kama uongo mwingine si mnajifanyaga hamuangalii tibisii
Sugu 2020 kura hazitamtosha hata afanyeje, wana CCM tupo imara, tumeimarisha ngome ile noma, yaani yeye mwenyewe analijua hilo, kama ilivyokuwa Mwanza na ndivyo itakavyokuwa kwa wana Mbeya, wanambeya wamechoka kuwa na mbunge mtukanaji, mvunjivu wa amani, hana adabu kwa wakubwa zake, maana ukienda uyole na mitaa mingine Sugu hawamtaki kabisa tena hatakiwi kabisaNafuatilia mkutano Wa mh rais na wakazi Wa mbeya kwa utangulizi wameongea na kutoa salam viongozi wengi wakiwemo mawaziri,diwani,naibu spika Wa bunge,mkuu Wa mkoa nk
Uwanja ulilipuka kwa shangwe pale alipoitwa mbunge Wa mbeya mjini kuja kusalimia,nikaamini hakika muheshimiwa sugu anakubalika vilivyo mbeya mjini.
Acha uongo wewe. Hiyo TV unadhani unaangalia mwenyewe. Kwanza hata kelele za wananchi hazisikiki
Sinachama naomba tuongelee Siasa anaeumba nimungu nakilammoja anaumuhimu wake ndiomaana kaumbwa nampaka sasa yupoBibi Tulia Ackson mifupa tupu yani nahisi bwanake anapatwa na maumivu makali sana akimaliza kumgegeda manake yule Dada mifupa tu ndo inaonekana kila pembe
Unapaniki nini we tako? Ukitoa hyo azam kwan hao wengine matangazo wanachukulia wapi
Write your reply...
dr. Magufuli ni raisi wa Tanzania. mh. SUGU ni raisi wa Mbeya
Hujielewi wewe,machinga ni wafanyabiashara wa kutembea tembea(hawkers) machinga sio soko kusema watengewe eneo.Rais John Magufuli amewaagiza viongozi wa mkoa wa Mbeya kuandaa eneo la Uwanja wa Ndege wenye zaidi ya hekta 5 ili kuwa eneo la wamachinga.
Pia kama kutakuwa na eneo linalobakia wameagizwa kujenga soko la dhahabu huku akiagiza kujengwa kwa vyoo pamoja na sehemu ya kupaki magari.
Ameyasema hayo leo Aprili 26, 2019, katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Ruanda, Nzovwe jijini Mbeya.
Rais Magufuli amesema baada ya wamachinga kuhamia eneo hilo na kuanza kufanya biashara wasidaiwe ushuru hasa pale wanapokuwa wamevaa vitambulisho shingoni.
“Lazima tukubaliane, katika nchi yoyote lazima kuwepo na utaratibu haiwezekani watu wanaolipa fedha nyingi TRA wenye maduka makubwa kila siku yeye akifungua anamgusa mmachinga ameng’ang’ania pale, kuwa mmachinga siyo kuvunja utaratibu,” amesema.
“Wapo wanaofanya biashara wanaolipa mamilioni TRA ndiyo yanasaidia kununua madawa, kutengeneza barabara, kuendesha nchi ni lazima tuwape uhuru wa kufanya biashara ili wanapoenda kulipa kodi waone wamelipa kwa haki,” amesema.
Rais Magufuli alitumia muda huo pia kuwaonya wamachinga juu ya ufanyaji holela wa biashara katika maeneo yasiyoruhusiwa kama msikitini, kanisani na Ikulu.
“Wafanyabiashara wote Tanzania ninaposimama kuwatetea haina maana mfanye biashara popote lakini na nyie viongozi msiwafukuze na badala yake mtafute namna ya kuwaruhusu kufanya biashara,” alisisitiza.
Siwez hata siku moja kuangalia tbc, bora niangalie porn kuliko huo upuuziWanaisema vibaya sana tbc lakini kumbe ndio wa kwanza kuikodolea mimacho yao
Anaanza kutumia muda huu kumpindua suguKwa haraka haraka ukiwa unaiangalia hii mikutano ya mkuu wetu, unaweza ukadhani ni mikutano ya kampeni ya kisiasa! Au ndiyo kampeni zimeshaanza kiana?
Tatizo lako ni ushamba ndiyo unao kusumbua kwani ukichangia hoja bila kutukana hautaeleweka au kutukana ndiyo kutaifanya TBC ipendwe?
airport ya zamani iko mjini pale pale karibu na kabwe Uwanja ule hautumiki ndipo watafanyia biasharaHujielewi wewe,machinga ni wafanyabiashara wa kutembea tembea(hawkers) machinga sio soko kusema watengewe eneo.
Machinga hufuata Wateja walipo.Nenda machinga complex kaangalie ndipo utajifunza kuwa machinga sio watu wa kutengewa uwanja wa ndege wakafanye biashara,hakuna mmachinga ataenda huko polini kupeleka bidhaa
Sasa hiyo ni personal attack - yaani hapo unaingilia matakwa ya muumba! Ukatubu.Mviziaje tuu, kamekauka utadhani kanakula vumbi LA mbao!
Huyo naibu spika yuko hapo kama nani labda kwa mfano?
Hicho si kipimo mbona mgombea wa Rais tiketi ya chadema walikuwa wanapiga na deki je alipita?
Yeah nimewaona mkuu, kuna wengine walikua PeterSafari hukuYapo walipaki coster nne kwenye kirabu cha kimpumu huku mwambene wanasubili mgao wao wa buku tanotano