Rais wa Jamhuri ya Muungano Mh Magufuli atazungumza na Watanzania mapema leo.
UPDATES
Hotuba ya Rais Magufuli
Kuhusu usajuli wa laini, Watanzania wapo milion 55 lakini waliosajiliwa NIDA ni million 15 tu.Hivyo tangazo la TCRA kuwa mwisho tarehe 1 mwezi wa tano itapelekea watanzania zaidi ya milioni 25 kukosa haki ya kumiliki mawasiliano.
Naongeza muda mpaka tarehe 31 Desemba, hata hivyo muda utakuwa mwisho endapo usajili wa vitambulisho utakuwa umekidhi vigezo.Kama usajili haujakamilika watu waendelee kumiliki simu zao mpaka NIDA watakapokamilisha usajili wa vitambulisho.
Kuhusu wamachinga, nwaagiza viongozi wa mkoa wa Mbeya kuandaa eneo la Uwanja wa Ndege wenye zaidi ya hekta 5 ili kuwa eneo la wamachinga.
Pia kama kutakuwa na eneo linalobakia wameagizwa kujenga soko la dhahabu huku, kujengwe vyoo pamoja na sehemu ya kupaki magari.
Baada ya wamachinga kuhamia eneo hilo na kuanza kufanya biashara wasidaiwe ushuru hasa pale wanapokuwa wamevaa vitambulisho shingoni.
Joseph Mbilinyi, Mbunge wa Chadema Jimbo la Mbeya Mjini
Sio kwamba hatukuungi mkono kwa Kila jambo, kuna mambo mengi sana tunakuunga mkono lakini hawasemi. Kwenye suala la Wamachinga nakuunga sana mkono.
UPDATES
Hotuba ya Rais Magufuli
Kuhusu usajuli wa laini, Watanzania wapo milion 55 lakini waliosajiliwa NIDA ni million 15 tu.Hivyo tangazo la TCRA kuwa mwisho tarehe 1 mwezi wa tano itapelekea watanzania zaidi ya milioni 25 kukosa haki ya kumiliki mawasiliano.
Naongeza muda mpaka tarehe 31 Desemba, hata hivyo muda utakuwa mwisho endapo usajili wa vitambulisho utakuwa umekidhi vigezo.Kama usajili haujakamilika watu waendelee kumiliki simu zao mpaka NIDA watakapokamilisha usajili wa vitambulisho.
Kuhusu wamachinga, nwaagiza viongozi wa mkoa wa Mbeya kuandaa eneo la Uwanja wa Ndege wenye zaidi ya hekta 5 ili kuwa eneo la wamachinga.
Pia kama kutakuwa na eneo linalobakia wameagizwa kujenga soko la dhahabu huku, kujengwe vyoo pamoja na sehemu ya kupaki magari.
Baada ya wamachinga kuhamia eneo hilo na kuanza kufanya biashara wasidaiwe ushuru hasa pale wanapokuwa wamevaa vitambulisho shingoni.
Joseph Mbilinyi, Mbunge wa Chadema Jimbo la Mbeya Mjini
Sio kwamba hatukuungi mkono kwa Kila jambo, kuna mambo mengi sana tunakuunga mkono lakini hawasemi. Kwenye suala la Wamachinga nakuunga sana mkono.