Kabisaa kiongozi, jirani sisiMkuu kumbe we jirani unamjua fred kameta?
Kabisaa kiongozi, jirani sisiMkuu kumbe we jirani unamjua fred kameta?
Siyo mwa... ni mala...Mwalafyale sio malafyale
Wewe utakuwa msafwa maana unabisha ujinga malafyale ninini?Siyo mwa... ni mala...
Lete maana ya malayale humuWewe utakuwa msafwa maana unabisha ujinga malafyale ninini?
Mimi ni Mnyakyusa wa Mwakaleli. Nakijua sana Kinyakyusa kuliko unavyodhani. Kiongozi wa kimila wa Kinyakyusa akiwa na eneo lake la utawala anaitwa Malafyale na si Mwanafyale. Wasaidizi wake wanaitwa mafumu, akiwa mmoja ni ifumu.Wewe utakuwa msafwa maana unabisha ujinga malafyale ninini?
Labda kwenu mwakaleli ndy mnaita hivyo lkn the entere nyakyusya tunaita MWALAFYALE acha ubishi wa kishamba poti wanguMimi ni Mnyakyusa wa Mwakaleli. Nakijua sana Kinyakyusa kuliko unavyodhani. Kiongozi wa kimila wa Kinyakyusa akiwa na eneo lake la utawala anaitwa Malafyale na si Mwanafyale. Wasaidizi wake wanaitwa mafumu, akiwa mmoja ni ifumu.
Aidha, malafyale humaanisha mfalme (siyo chifu). Malafyale means a king, not a chief. Ukisikia Jesu jho Malafyale, maana yake Yesu ni Mfalme, siyo Yesu ni chifu!
Ukisema hivyo mbele ya tunaojijua utaitwa mjanga! Uwe mpole unapofundishwa usiyoyajua.
Malafyale?? The big no potiMimi ni Mnyakyusa wa Mwakaleli. Nakijua sana Kinyakyusa kuliko unavyodhani. Kiongozi wa kimila wa Kinyakyusa akiwa na eneo lake la utawala anaitwa Malafyale na si Mwanafyale. Wasaidizi wake wanaitwa mafumu, akiwa mmoja ni ifumu.
Aidha, malafyale humaanisha mfalme (siyo chifu). Malafyale means a king, not a chief. Ukisikia Jesu jho Malafyale, maana yake Yesu ni Mfalme, siyo Yesu ni chifu!
Ukisema hivyo mbele ya tunaojijua utaitwa mjanga! Uwe mpole unapofundishwa usiyoyajua.
Busara inaniambia endelea na msimamo wako huo, na nitauheshimu hata kama sikubaliani nao. Huo ndio utu. Na mbaya zaidi hujui unayejibizana naye ni nani.Labda kwenu mwakaleli ndy mnaita hivyo lkn the entere nyakyusya tunaita MWALAFYALE acha ubishi wa kishamba poti wangu
Duh, entere! Haya bwana, jipe ushindi. Ila sijawahi kuona mahali popote ambapo kuelekezana na kueleweshana kwa hekima na busara ni ubishi.Labda kwenu mwakaleli ndy mnaita hivyo lkn the entere nyakyusya tunaita MWALAFYALE acha ubishi wa kishamba poti wangu
Nisamehe poti wangu kwa kutumia lugha isiyo ya kiungwanaDuh, entere! Haya bwana, jipe ushindi. Ila sijawahi kuona mahali popote ambapo kuelekezana na kueleweshana kwa hekima na busara ni ubishi.
Aidha, muungwana yeyote yule huwa hatukani wala kulaumu, bali hujenga hoja na kujali maoni ya wengine hata kama hakubaliani nao.
No si mwanafyale ila inaweza ikawa mwalafyale au malafyaleMalafyale?? The big no poti
Mmmh ushamba tena!Labda kwenu mwakaleli ndy mnaita hivyo lkn the entere nyakyusya tunaita MWALAFYALE acha ubishi wa kishamba poti wangu
Nimeomba radhi huko juu mkuu wanguMmmh ushamba tena!
BM TAJIRI WENUMimi kwetu nikitaka kufika nyumbani siwezi enda na gari maana nyumba zimejazana hakuna njia ya kuingia gari hadi nyumbani...napaki barabarani na kwa jirani..wapi njia panda ya halengo kuelekea kanisa la Roman Catholic ...Pastor mwakalobo.....parking Mbembela
Mbeya kuanzia pale Simike,Meta,Mabatini,Nzovwe,Mbembela had Iyunga pale kabla hujafika bMbeya ilipewa Jiji kwasababu ya uwingi wa watu na mapato, ila ni mji ambao haujapangika vizuri na haujajengwa vizuri. kwa wale wenzangu na mimi wenyeji wa huko, ukiishi mbeya walau miaka miwili haujajenga, unadharauliwa sana, hivyo watu wengi mbeya wamejenga nyumba zao, lakini sasa ujengaji wake kwasababu kila mtu alalazimisha awe na nyumba, regardless na kipato alichonacho, kuna nyumba hazina mpangilio kabisa wala mfanano. nawezasema pamoja na kwamba DODOMA ni padogo, ila pamepangika na ni pazuri kuliko mbeya. mbeya mtu anajenga apendavyo na nyumba ya aina apendayo, ya kudunduliza, ya kitajiri, ya kimasikini twende...alimradi awe na nyumba. na wanyakyusa wanavyodharau mtu anayepanga.....
but kimapato, kuna biashara kubwa sana. business centres kama SIDO/MWANJEWA/KABWE ni chache sana kwenye miji mingi Tanzania ukiondoa DSM. pale utapata kila kitu ambacho ungepata dsm na kwa bei nzuri. kuna watu wanafanya biashara pale ya hali ya juu. population pia ni kubwa inasapoti biashara ndio maana ilipewa hadhi ya jiji.
haina hadhi ya kuwa jiji.Mbeya kuanzia pale Simike,Meta,Mabatini,Nzovwe,Mbembela had Iyunga pale kabla hujafika b
Break point bar, Ikuti hadi kiwanda Cha Coca-cola,nyumba zimerundikana kama nywele za kipilipili kichwani.
Kuna hizo chochoro hata kama una baiskeli lazima uiache barabaran ndo ufike kwako.
Mbeya nlipata msoto mmoja mzr sana...nikikumbuka machozi yananilengalenganashauri panda dpk