Kweli wewe uliishi miaka 20 iliyopita, ukumbi wa Dhando?! A long lost memory.Wapi Nzovwe! Wapi Kalobe! Wapi Mbembela! Wapi Mwanjelwa, wapi ukumbi wa Dhando! Sokomatola, Meta, Mama John, Mbalizi, Simike, dah!! Mbeya patamu sana.
Niliishi hapo miaka 20 iliyopita. Na nilikuwa ni mteja mzuri sana wa kile kipimo cha Ndonya wakati nanunua mchele, nk.
Pale ilomba nimenunua sanaaaaa ndonya zile na dox nimeuza sanaaaa mtumba wa kurusha mpaka soko linaungua nikaamua kubadili maishaWapi Nzovwe! Wapi Kalobe! Wapi Mbembela! Wapi Mwanjelwa, wapi ukumbi wa Dhando! Sokomatola, Meta, Mama John, Mbalizi, Simike, dah!! Mbeya patamu sana.
Niliishi hapo miaka 20 iliyopita. Na nilikuwa ni mteja mzuri sana wa kile kipimo cha Ndonya wakati nanunua mchele, nk.
Enzi hizo kuna ukumbi mwingine wa Kwenzulu, tulikuwa tunaenda kuwavizia watoto wa Loleza 😁😁😁Kweli wewe uliishi miaka 20 iliyopita, ukumbi wa Dhando?! A long lost memory.
ulizaliwa na kukulia eneo la wezi, wavuta bangi na wachawi. Nonde ni sehemu hatari mno ambayo serikali inatakiwa kulitwaa na kufuta nyumba zote ijenge nyumba za serikali, kwasababu pamejaa harufu ya uovu wote.Nilikulia na kulelewa Mbeya maeneo ya Majengo na Nonde-machinjioni. (1974-1980). Nikaondoka kwenda kusaka maisha. Nikalowea huko nilikokuwa.
Nimerudi majuzi. Daa!! Ooh! Mbeya, my dear Mbeya!
Siku hizi hamna cha Nkwenzulu wala nini watu wanajaa kwa Mwairubi utafikiri bia wanapewa bure.Enzi hizo kuna ukumbi mwingine wa Kwenzulu, tulikuwa tunaenda kuwavizia watoto wa Loleza 😁😁😁
Enzi hizo jeans pana kwa tshirt au shati ya mikono mifupi na raba, ndiyo ilikuwa habari ya mjini.
Mwalafyale sio malafyaleUlinkafu malafyale?
Mbona hujaitaja Iyunga mkuu?Wapi Nzovwe! Wapi Kalobe! Wapi Mbembela! Wapi Mwanjelwa, wapi ukumbi wa Dhando! Sokomatola, Meta, Mama John, Mbalizi, Simike, dah!! Mbeya patamu sana.
Niliishi hapo miaka 20 iliyopita. Na nilikuwa ni mteja mzuri sana wa kile kipimo cha Ndonya wakati nanunua mchele, nk.
Hahaha ukumbi wa dhado ni moja ya kumbi maarufu mbeya enzi hizo ila saiz yamekuwa makazi ya popoWapi Nzovwe! Wapi Kalobe! Wapi Mbembela! Wapi Mwanjelwa, wapi ukumbi wa Dhando! Sokomatola, Meta, Mama John, Mbalizi, Simike, dah!! Mbeya patamu sana.
Niliishi hapo miaka 20 iliyopita. Na nilikuwa ni mteja mzuri sana wa kile kipimo cha Ndonya wakati nanunua mchele, nk.
Kama umkulia mitaa hiyo we ni criminal by natureNilikulia na kulelewa Mbeya maeneo ya Majengo na Nonde-machinjioni. (1974-1980). Nikaondoka kwenda kusaka maisha. Nikalowea huko nilikokuwa.
Nimerudi majuzi. Daa!! Ooh! Mbeya, my dear Mbeya!
Kama umkulia mitaa hiyo we ni criminal by nature
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Toa vigezo mkuuMbeya haina hadhi ya jiji
Ni mji mkubwa tu
Hivi na Mbeya wakizuia bajaji zisiingie mjini itakuwaje
Nyumba zimesongamana, barabara nyembamba, wafanyabiashara ndogo ndogo hasa kina mama wamejaa kando kando ya barabara, msongamano wa bajaji na boda boda, vibakaToa vigezo mkuu
Umenikumbusha Nairobi maeneo ya embakasy mpaka nyayo estate miaka ya 1994s kulivyokuwa but now kama no vibaka serikali ilijenga apartment za walalahoi.ulizaliwa na kukulia eneo la wezi, wavuta bangi na wachawi. Nonde ni sehemu hatari mno ambayo serikali inatakiwa kulitwaa na kufuta nyumba zote ijenge nyumba za serikali, kwasababu pamejaa harufu ya uovu wote.