Mbeya na mambo yao


huyo mzee kwenye red aliwahi kukutwa na sufuria kuubwa limejaa nyama ya binadamu,mikono miguu,etc alikua anaaminika kwa uchawi,sijui alikufa kifo gani
 

hahaaaa umeniacha hoi maana naona mzungu aliona mwishowe itakua ndaga fijo na meli.
 
Bujibuji bana umenikumbusha kukaja,Mbeya bana balaa,umesahau kuwa wanawake wa mbeya wengi ni Kalolait na wana ndevu kama maruhum Osama,pia ndio wa kwanza kumpopoa na kuzuia msafara wa baba wa kaya
 
Kitu kimenikuna kuliko vyote kwenye hii mada ni hii picha hapa chini. Ubarikiwe sana uliyeiweka.

Mie nikiwa Bongo huwa sikubali kabisa kula wali kama si wa Mbeya. Wa Shinyanga wanachanganya mchanga, kwa hivyo hata bure siutaki.

Ila kuna dosari moja kubwa: Kwanini Mbeya hamna gazeti? Hamjui umuhimu wa kuwa na gazeti? Arusha wanalo Arushatimes, na linawapatia umaarufu na kuinua biashara zao, hasa za utalii. Anzisheni gazeti. Msiogope. Mnaweza. It's is the best way to promote yourselves.

 
ascofu Mwakasege,
prof Mwandosya,
Mwakyembe,
Bahati Bukuku,
cpwaa,
sugu,
wengine nimewasahau,
 
daah mby co mchezo ukiongelea kimichezo mbeya enzi hizo ilikuwa mbali sana,
Nakumbuka enzi zile ligi ya tanzania bara ilipokuwa bora huku tukuyu starz,kule prisons na tiger na meko!ndani ya sokoine stadium ilikuwa ni burudani sana,
Mkuu pia kuna ligi ilikuwa inapigwa pale UWANJA NGOMA daah ilikuwa ni noma sana vijana wengi sana wamekuwa wachezaji wakubwa nchi hii toka uwanja ngoma,kama kina fuso,mwamanda samson,mgaza na wengine kibao!
Nakumbuka kama hood ye2 ya ghana tulikuwa na timu ze2 mazoezi pale mbata huku sarakasi kwenye mapululiro huku vijana wanapasha,watoto wa kishua enzi zile walikuwa na timu yao saitama ya uzunguni kwa mzee samatta(r.i.p),af kulikuwa na snow white,dah by dat tym ukiongelea soka basi hii ndo ilikuwa ndo 2po ktk peak ya soka!
Leo maisha yamechange sana kila mtoto akizaliwa anafikiria kupaka powder,kujipiga scrub na kwenda club michezo atacheza saa ngapi?tena ctashangaa kuckia leo pale uwanja ngoma kuna stage wa2 wanafanya show!
Daah nilisahau ishu ya kupanda mlimani kwenda kula mang'ang'a after then 2nashukia loleza high school kuwaona dada zetu hahaha
 


1. Waberoya anatoka Mbeya
2. Mbeya is among the giant mikoa ktk uzalishaji wa chakula cha binadam
3. Mtu aweza kupita Mbeya kwenda Zambia, Malawi na Zaire
4. Maziwa na mito mingi ya kuvutia isiyo kauka kwa takribani majira yote ya mwaka ipo Mbeya
5. Mawaziri Mark Mwandosya na Harison Mwakyembe chanzo cha maradhi yao kinaisikitisha sana Mbeya
6.
 
Kuna Mto unaisihia kwenye chungu ,pale Inyala karibu na TAZAMA pipeline uliwahi kutupwa mpira ukaenda kutokea ziwa tanganyika inaaminika mto unaishia kwenye mkondo wa bonde la ufa hiyo ndio mbeya
Mashamba makubwa ya mpunga usangu na mbarali utapenda madhari ya bonde
Kila wilaya ya mbeya ina mabonde na uwanda mkubwa sanaaa kwa kilimo kizuri ,chunya,Kyela,mbarali mbozi utapenda kwa kwa kweli
Wanake wa mbeya ni wajasiriamali waliokubuhu tangu enzi hizo za kusafirisha malori ya ndizi nchi nzima
 
95 percent ya kokoa inayozalishwa tanzania inatoka kyela-mbeya. Ila na ukwimwi kanaongoza huko
 

6.Penguine anatokea Mbeya
7. wanawake wenye uasili halisi wa ubantu wanatokea mbeya..wazuri I mean,,
8.Sugu anapatikana Mbeya
9.
 
Hata big brother wa kwanza si alitoka mbeya?! - kwanza Mwampamba!, mwisho mbeya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…