Mbeya na mambo yao

Nyie mashemeji acheni kulewa misifa.........angalieni mmeshaambiwa kiwango cha elimu kwenu kimeshuka.........nyie endeleeni na Mwa mwa mwa hapa......
 


da...
mkuu asante sana kwa kunikumbusha kina Tunyande na basi lake injini nyuma
 
Mwe umwe, mungumbwisye kutali!

Vijana maarufu kwa vurugu kule Isanga mbeya
Mwasimba wa Nonde alikuwa ni noma,alipandisha bendera yake nonde kule.
 
Nakumbuka vita kati ya watoto wa Isanga na Nonde pale uwanja wa sokoine, kijana wa nonde alipigiliwa msumari wa inch sita kiunoni
 
Kuwafananisha Nsekela na Mwaikambo na hawa wa leo akina Mwandosya na Mwakyusa ni sawa na kufananisha mlima Kilimanjaro na kichuguu!!! Hawa wa leo wamejaa ubinafsi tu!!
Kama unataka kujua Mwandosya amefanya nini kwao uliza wanaotoka huko
 
Mwakatobe
Mwakalinga
Mwalulili
Mwaikambo
Mwailolo
Mwakyusa
Mwaisaka
Mwandemani
Mwakatumbula
Mwa....Mwa....Mwa....Mwa....etc
Mwambebule
Mwasakafyuka
Mwambulukutu
Mwasakujonga
Mwaitenda
Mwaigomole
Mwa Mwa Mwa
 
Ninachowapendea ni watu ambao wanamsimamo thabiti na hivyo wanaweza kusimama na kuanzisha kitu kikawa kweli kitu hata kama mazingira ni magumu kiasi gani, kwa hiyo NGO nyingi unakuta kiongozi mnyakyusa KIWOHEDE, SERO, kuna ile ya mama Siwale etc, pia kupeleka Injili Mwakasege, Bukuku, Mwaitege, A Mwasongwe, Christan Mwasongwe etc Bravo wanyakyusa!
 
ni Mbeya pekee kwenye ugonjwa wa zinaa unaitwa Mandeletele, usiombe ukupate huo gono na kaswende ni cha mtoto.
 
sasa JOMBI ALIFUNGWA , YUko hai ama ? hii stori ya Jombi imeniacha kinywa wazi
 
Chungu na Daraja la Mungu vipo Mbeya maeneo ya Kiwila chuo cha magereza
Bwawa la ajabu liko Masoko Mbeya
Rungwe Volcanic mt uko Mbeya
Matema beach iko Mbeya the only beautiful beach in the southern highlands
 

Ha ha ha haaaa!!
Mkuu umeniweza, lakini ukifika karibu na mkoa wa Mbeya sikiliza Mbeya Highlands FM 92.7Mhz. Inasikika mkoa mzima.
Siku hizi mambo kimya kimya.
 
Mbeya nilifika mwaka 79 na sijakanyaga tena.
naogopa kwenda kama kweli hayo masuala ya kutisha yapo na yanatendeka sasa
 
Ha ha ha haaaa!!
Mkuu umeniweza, lakini ukifika karibu na mkoa wa Mbeya sikiliza Mbeya Highlands FM 92.7Mhz. Inasikika mkoa mzima.
Siku hizi mambo kimya kimya.

Hongera sana shemeji.......kumbe ule mradi ulishaanza!!.......dada yako hapa anaomba uiweke mtandaoni pia........nafikiri ndio itakuwa radio ya pili kusikika mtandaoni........
 
maporomoko maarufu zaidi yapo kwenye mto kiwira yanaitwa NDULILO YA MALASUSA
 
-beach nzuri mbeya matema beach...
-wasanii wengi ukiacha waimbaji wa nyimbo za injili wanatoka mbeya au walikulia mbeya
-wachezaji wengi wmaarufu wa mpira wapo mbeya
-makaa ya mawe mbeya
-daraja la mungu la ajabu mbeya kiwira
-ziwa la ajabu la mviringo lipo mlimani mbeya
-kahawa mbeya
-watu wenye nguvu
 
sasa JOMBI ALIFUNGWA , YUko hai ama ? hii stori ya Jombi imeniacha kinywa wazi


Jombi ni mzima kabisa na yuko pale Soweto (Mbeya). Ana gereji yake pale, ina jina la VETA, nadhani wanafunzi wa VETA wa auto mechanics wanajifunzia pale. Nilimkuta tarehe 26/12/2009 nilipokwenda kukarabati gari langu pale, yuko fiti kinoma.
Hata mie nilikuwa simfahamu hadi nilipooneshwa na watu kwamba ndio yeye, na wala sikujua kwamba ile gereji ni ya kwake.
 

Hapo sasa, Yule mchezaji wa Simba S.C. Emmanuel Gabriel Mwakyusa anatoka Mbeya maeneo haya haya ya Iyunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…