Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Ah wapi...watu Wana elimu zao lakini mishahara wanayolipywa had unajiskia huruma..wafanyakazi Wana stress Sana kwasasa .sitakiiiUsifanye hivyo,
kipimo umpimiacho mtu ndicho utakachopimiwa.
Kwa vile sio kosa kisheria kuwa na tofauti za kimtazamo, usimfanyie hivyo. Kama ameshindwa kukuelewa achana naye