Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,730
- 19,879
Sasa huamini kuwa serikali ya awamu ya tano inahusika kwenye kila jambo?
CCM Hamumwogopi hata Mungu mamaeeeee
CCM Hamumwogopi hata Mungu mamaeeeee
Mmeanza kuonekana sasa, ila kuna siku Mungu atawaumbua tuu.Je amesema aliwatapeli nini hao waliompiga?
Sasa hao waliokua wanasema ameletwa dar habari wamezipata wapi. Huyu bila shaka kajiteka kama nondo mpango ukiwa kuwapatia wapinzani tukio kufanya siasa wanazojua.
Ukiconnect dot unaweza kuhisi nguvu ya Gwajima leo imeshtua watu...Oops Bora tupumue sasa
hapa ngoja niitafute clips ya Gwajima
then j2 nikacheck dude Lina vyoamshwa
mpaka kufika 2020 Nadhani tutaona Mengi SANAAAA
PIGO KIVP?MOJA KATI YA PIGO KWA WANACHAMA WA CHAMA CHANGE KIJANI View attachment 1092177
Imewauma kupatikana hai?Hizi Kick! Kick! Kick! Mbaya sana. Aswekwe ndani na kushitakiwa mahakamani kwa kosa la kutengeneza movie ya kutekwa kwa nia ya kuleta uchochezi. Yeye ni mtu mdogo sana chadema, kwa nini atekwe yeye badala ya kuteka kigogo mwenye mashiko? Ukitaka kula nguruwe si unachagua aliyenona? It doesn't make sense mtu kama yeye eti katekwa!!
Ina maana huyo Diwani wa CHADEMA ndio wa kwanza kumuona?
Gwajima ndiye Mwanaume pekee ambaye anatesa Akili na mbinu za BashiteUkiconnect dot unaweza kuhisi nguvu ya Gwajima leo imeshtua watu...
Mzee wa kusaga kokoto ukatoka unga..
As far as nchi hii ina mtindo wa kuficha matukio isije kuwa wanatutoa kwenye reli ili Gwaji boy asitoe yake..
Nyinyi kila sehemu siasa tu,yaani umeambiwa mtu amepatikana akiwa ktk hali mbaya wewe unaandika kama hakuna kilichoharibika. Kwa hyo kijani wakichukia wewe utafurahi kwa hyo hali walosema yuko nayo?Hii ni habari mbaya sana kwa wanachama wa chama cha kijani
Yaaap, jambo la msingi ni uhai wa mtu kwanza.Sisi tunachojali ni uhai wake nyie endeleeni na roho mbaya zenu.
Kwani Dar na Mbeya masaa mangapi?Sasa hao waliokua wanasema ameletwa dar habari wamezipata wapi. Huyu bila shaka kajiteka kama nondo mpango ukiwa kuwapatia wapinzani tukio kufanya siasa wanazojua.