Roho mbaya FC ulikuwa unatamani afe.Police wamkamate sasa wamfanyie upelelezi na wamfungulie mashtaka ya kujiteka kabla hajaanza kumtukana tena raisi wetu
😂😂😂😂😂 CCM Hamumwogopi hata Mungu mamaeeeeeAmepatikana kwa juhudi ya serikali ya awamu ya tano
Sasa hao waliokua wanasema ameletwa dar habari wamezipata wapi. Huyu bila shaka kajiteka kama nondo mpango ukiwa kuwapatia wapinzani tukio kufanya siasa wanazojua.Heshima kwenu wakuu,
Taarifa za awali zinathibitisha kuwa Mdude Nyagali amepatikana akiwa hai, sema kapigwa sana.
Mdude amepatikana katika kijiji cha Makwenje, kata ya Inyara katika Halmashauri ya Jiji la Mbeya.
Taarifa hizi za awali zimethibitishwa na Diwani wa CHADEMA mkoani humo, Mwangomale.
Stay tuned
Tuache uchama indeed, hii habari iwe kweli.Naomba hii habari iwe ya kweli.
Ina maana huyo Diwani wa CHADEMA ndio wa kwanza kumuona?Kama ni kweli, Mdude, Mo, Roma Mkatoliki waandae siku moja kwa pamoja watuambie ni wapi walipopelekwa baada ya kutekwa.
NikwelSisi tunachojali ni uhai wake nyie endeleeni na roho mbaya zenu.
Ndiyo..kasema aliwatapeli 1.5 trioni kama ilivyodaiwa na CAGJe amesema aliwatapeli nini hao waliompiga?
Inavyoelekea ni kweliView attachment 1092173
FUTA HIYOMOJA KATI YA PIGO KWA WANACHAMA WA CHAMA CHANGE KIJANI View attachment 1092177
Well said sexlessAwamu ya washamba na malimbukeni hii ni shida sana