johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,997
- 142,017
Baraza la Madiwani Jijini Mbeya limepiga marufuku Usajili mpya wa Bajaj kwa sababu zimekuwa nyingi kupitiliza mahitaji.
Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya amesema Usajili utakaofanywa ni ule wa replacement baada ya Bajaj kuchakaa hivyo mmiliki ataruhusiwa kununua mpya.
Chanzo: ITV habari
===============
Baraza la Madiwani Jijini Mbeya limesitisha usajili mpya wa usafiri wa Bajaj kwa sababu zimekuwa nyingi kuliko mahitaji huku barabara ikiwa finyu pamoja na kusababisha ajali mara kwa mara.
Mfumo wa usajili umefungwa hadi wakati ambapo miundombinu itakapokuwa rafiki kwa matumizi. Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya, Triphonia Kisiga amesema Bajaj zilizosajiliwa Mkoani hapo ni 3000.
Naye, Mstahiki Meya wa Jiji la Mbeya, Mohamed Issa amesema “Mbeya imekuwa kama dampo la Bajaj, imefika hatua tunasema Hapana.”
Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya amesema Usajili utakaofanywa ni ule wa replacement baada ya Bajaj kuchakaa hivyo mmiliki ataruhusiwa kununua mpya.
Chanzo: ITV habari
===============
Baraza la Madiwani Jijini Mbeya limesitisha usajili mpya wa usafiri wa Bajaj kwa sababu zimekuwa nyingi kuliko mahitaji huku barabara ikiwa finyu pamoja na kusababisha ajali mara kwa mara.
Mfumo wa usajili umefungwa hadi wakati ambapo miundombinu itakapokuwa rafiki kwa matumizi. Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya, Triphonia Kisiga amesema Bajaj zilizosajiliwa Mkoani hapo ni 3000.
Naye, Mstahiki Meya wa Jiji la Mbeya, Mohamed Issa amesema “Mbeya imekuwa kama dampo la Bajaj, imefika hatua tunasema Hapana.”