barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,802
Mbeya sasa wameamua kuachana na uhuni. Wanataka maendeleo!Kwa Sasa tunahitaji Mbunge Msomi wa kutuletea maendeleo jimboni. Vurugu, maandamano na kufokafoka si maendeleo.
Kila la heri watia nia.