Mbeya long time kitambo

Watu wa Mbeya,tunawasubiri kwenye urais tuone ubabe wenu,sijui Kama watu hawatakuwa wanalala saa kumi na mbili jioni!
 
CHEKECHEA ZA ZAMANI OLOFEA, KOTA. KWA SIJABAJE, UMOJA
 
mkuu umenikumbusha mbali kanjoka alikuwa ticha wa hesabu amenifundisha ni bakora hatar nimehitimu 2009 primary sinde,kanjoka yupo alishastaafu
 
hao ndo waanzilishi wa taasisi inaitwa uwata ,wana shule na hospitali kanisa lao lipo mteremko wa mwashinga ,manga
Mwakiswalele na kanisa lake la Uamsho walikuwa wanaonekana wanaabudu mashetani na walisadikika wanasali uchi usiku wa manane.
Walipewa jina la kebehi BHASISIMIKISI
 
hao ndo waanzilishi wa taasisi inaitwa uwata ,wana shule na hospitali kanisa lao lipo mteremko wa mwashinga ,manga

UWATA wanetakeover Mbeya na huduma zao bora iwe shule , hosptal au pharmacy halafu nilijua wakatoliki kumbe sio
 
Ni taasisi kubwa hasa hospital huduma zao nzur ,shule pia iko njema kuna uwata boys na girl ni vichwa madogo wanaotoka huko tz one wametoa
UWATA wanetakeover Mbeya na huduma zao bora iwe shule , hosptal au pharmacy halafu nilijua wakatoliki kumbe sio
 
Huu uzi umenikumbusha mitaa ya Igawilo na itende jeshini tulikua tunakuja kupiga mechi, tukiwafunga hao basi inakua vita
 
Shungu Keshafariki aisee
 
Wakati nchi Ina heshima na adabu, nimefika miaka hiyo pale Tukuyu CNE kwenye michezo ya vyuo vya ualimu, kanda ya nyanda za juu!!!,ohoooo na vile vibasi safi msaada wa SIDA, wale wote walioishi Shabaan Robert West, pls nyosheni mikono yenu juu humu!!
 
Jenny Nisha skia habari zake🙏🙏🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…