Mbeya long time kitambo

Siku hizi watu wameacha vurugu shuleni na vyuoni. Tulikuwa na ndugu yetu pale, Tulikuwa tunamtembelea jpili tupige na mpunga. Walikuwa wanapikiwa fresh sana.
Hahah mwenyewe mpunga nimeula sana..maana jamaa wanachukua sado zima..kuja kula na wana wa mtaa

Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
 
Umenikumbusha enzi za ngenge na wali moto mchuzi moto pale Jua kali kwenye 1997.

Sent from my HUAWEI Y300-0100 using JamiiForums mobile app
Sie watoto wa Nonde tuliokuwa karibu na kanisa la Lutheran la mawe minuso safari zilikuwa zinaanzia pale tukiona tu! Harusi mnaunga inakoelekea kufanyikia baada ya ndoa
 
Sie watoto wa Nonde tuliokuwa karibu na kanisa la Lutheran la mawe minuso safari zilikuwa zinaanzia pale tukiona tu! Harusi mnaunga inakoelekea kufanyikia baada ya ndoa
Utakuwa megonga sana minyofoo chinji.
 


Wachezaji wa Tukuyu Stars ya Mbeya kutoka kushoto, Mohamed Kassanda, Raphael Mapunda na Kanza Mrisho wakiwa Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya mwaka 1987 kabla ya moja ya mechi zao za Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara. Tukuyu ilikuwa bingwa mwaka 1986 na baada ya msimu nyota wake wakachukuliwa na Yanga na Simba nayo ikashuka daraja mwaka 1987
 
Duh, enzi hizo kila basi ina carrier. Basi za mwisho mwisho za dizaini hiyo walikuwa nalo rufaa na MTC. Basi za mstatili.

Land alienation

Forced Labour

Low wages

Poor technology

Poor infrastructure

Lack of education

Unemployment

Taxation

Yan hizi point zimewafikisha watu chuo kikuu, huwa hazikataagi swali hata kama unaelezea issue ya Kibiti
 
Ile ajal ya miti hata mm nikuwepo

Sent from my Infinix NOTE 3 Pro using JamiiForums mobile app
 
naskia ile barabara ya kutoka Rift valley kwenda chunya ina lami, na lile soko la Isanga limefutwa,hv uwanja ngoma upo bado?
Saiz lami mpaka chunya mjin siku hz usafil ni wa costa tu

Sent from my Infinix NOTE 3 Pro using JamiiForums mobile app
 
*umemsahau shetani na Yesu*

Sent from my Infinix NOTE 3 Pro using JamiiForums mobile app
 
ha ha haaa Kifwamba Rangers .....ilikuwa timu ya tajiri mmoja mnene enzi hizo.....mara moja moja alikuwa akipewa namba tisa aingie kupiga soka .....ilikuwa vituko....nasikia alikufa huyo mwenye kifwamba
Kwenye timu yake ukiwa namba saba hupat namba maana hyo namba ilikuwa yake akichoka alikuwa anaingia shemeji yake alikuwa anaitwa mawazo.ukitokea penart yupo nje bas anaomba kuingia ili akapige yeye uwanja wa magereza ilikuwa vituko


Sent from my Infinix NOTE 3 Pro using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…