Yaani niliwahi kuwa na boyfriend wa MTC,kipindi nasoma Mwakaleli high school,lkn masikani ilikuwa Mbeya Block T. Vurugu zake nilikoma,alikuwa akinitembezea kichapo popote hata anikute tu nimekaa na mtu wa jinsia tofauti hata kama ni ndugu yangu. MTC walikuwa washenzi bwana,makondakta na madereva walikuwa wanakiona.
Iyunga boys na MTC walikuwa paka na panya likija suala la Loleza girls. Ila ilikuwa poa sana