Mbeya long time kitambo

Mbeya kwa uchawi na makanisa hakujambo
 
daah kitambo sanaaa!! dr. Kasimbazi saiz kachakaa,kawa kama mwehu,pombe zimeshamuharibu
Kuna mtu aliniambia dr. Kasimbazi alikufa, dr. Hamisi yule surgeon pia aliniambia amekufa
 
Kulikuwa na pusher wa bangi huko Nonde. Ukitaka kuvuta bangi kwake utavuta bure hata gunia. Take away ndio unalipia. Jamaa alikuwa anaitwa Mswanga na alikuwa na stock ya kutosha kuvutisha vijana wote wa Mbeya kwa miaka minne bila kutetereka
JAMAA ALIKUWA FAIR SANA🙂🙂
 
Kulikuwa na nyumba Nonde jirani na kwa kina Ramsey Thomas (Eluka). Nyumba iliandikwa KA GHETTO KA MASTER. Ukipita hapo jioni unakuta jamaa ananyongewa bangi na mkewe. Kisha wanakaa na kuanza kuvuta wote
 
Kulikuwa na nyumba Nonde jirani na kwa kina Ramsey Thomas (Eluka). Nyumba iliandikwa KA GHETTO KA MASTER. Ukipita hapo jioni unakuta jamaa ananyongewa bangi na mkewe. Kisha wanakaa na kuanza kuvuta wote
Eluka yuko mwanza
 
Ange mwaipasi, God kikolo, kausafi, mwamajuja, zox mzee wa pms corner wazee wa pamba
 
Uswahilini kuna mzee Mwamtobe diplomat ana land rover 109 short chassis mbaka juzi kati nimeiona
 
Kulikuwa na mlokole mmoja ana mgahawa alikuwa anaitwa Mtemi, akamuaga mkewe kuwa anaenda kuhubiri vijijini. Akakutwa Lupa Way guest house kafa na kondom yake. Ilikuwa inasemekana alikuwa amelala na Vera wa George wa Soko-Matola mtaa wa Tanu
Bujibuji mbona una habari za mbeya za kufa mtu?saluti mkuu
 
Hahahahaa mponda macho ya paka
 

Bila shaka wengi wenu humu mnalikumbuka hili gari
 
Bonny Mwamajuja alikuwa anatembea kama anadunda hivi alikuwa na tukutuku kubwa hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…