Duu, hayo ndi majanga tunayostahili kuyaangamiza kabisa katika medani ya michezo! Wanataka wanataka kufanana na wenzao wa kule Rukwa nao wlikuwa na misuguano kama hiyo lakini tangu walipoewa Tanzania Prisons wamestaraika, Nakumbuka tulipokwenda na Simba mwaka 2019, Eti kuna watu wakataka kuzuia Simba isicheze pale Sumbawanga wakidai eti walioialika timu hawakufuata utaratibu , jamai ilishangaa mno ushamba ule!Iringa tatizo ni uongozi pale awana umoja chama cha mpira mkoa kimegawanyika kila kiongozi ana timu yake
hilo litakuwa jina la timu au chanjo ya covid19Ibadilishenu jina muiite MECC9
ngajapo une. Hiyo chanjo itakuwa noma sanahilo litakuwa jina la timu au chanjo ya covid19
sanaaaInapendeza...
Timu nyingi sina shindwa kwa sababu ya uongoziDuu, hayo ndi majanga tunayostahili kuyaangamiza kabisa katika medani ya michezo! Wanataka wanataka kufanana na wenzao wa kule Rukwa nao wlikuwa na misuguano kama hiyo lakini tangu walipoewa Tanzania Prisons wamestaraika, Nakumbuka tulipokwenda na Simba mwaka 2019, Eti kuna watu wakataka kuzuia Simba isicheze pale Sumbawanga wakidai eti walioialika timu hawakufuata utaratibu , jamai ilishangaa mno ushamba ule!
Jezi yao inanitia kinyaa. Ila team nzuri sana.
Atakama wew simba mbona wengine ni simba tunaona jezi nzuri tu achana na usimba na uyanga kwenye mambo mengineJezi yao inanitia kinyaa. Ila team nzuri sana.
karibuhaya
Wewe unateseka na nini sasa? Tunatangaza mkoa wetu si mmetutenga nyie hasa awamu ya Jiwe?HV mbon mnapenda ubinasfs et mbeya Kwanza ndio kitu gani hicho? mmekoza jina lingine mpka mlete umbeya Kwanza ...ngoja waje mzimu Ni mmoja tu watapoteana wote