timu nyingi zinashundwa kwa kuwa na matarajio yasio na uhalisia. wewe kama timu yako imepanda daraja malengo yako kwa misimu mitatu ya kwanza ni kubaki kwenye ligi kuu. hapo hutapata presha za kijinga.Sawa lakini ukiangalia timu hii inavyocheza kuna kitu kikubwa inaweza fanya msimu huu
Navyoona mimi tatizo lipo kwenye uongozi timu ikianza kupata pesa tu mara nyingi timu izi zinaanza kufanya vibaya ila kama timu ikiwa na uongozi imara iwezi kushuka darajatimu nyingi zinashundwa kwa kuwa na matarajio yasio na uhalisia. wewe kama timu yako imepanda daraja malengo yako kwa misimu mitatu ya kwanza ni kubaki kwenye ligi kuu. hapo hutapata presha za kijinga.
ndio utashangaa ata hizo 40m za azam bado utasikia kuwa wachezji hawajalipwa.Navyoona mimi tatizo lipo kwenye uongozi timu ikianza kupata pesa tu mara nyingi timu izi zinaanza kufanya vibaya ila kama timu ikiwa na uongozi imara iwezi kushuka daraja
team hii itafanya vizuri kama uongozi utaendelea kuwa imaraMbeya kwanza wazuri sana
Wana Stamina nzuri
Washawapiga
Prisoni, Ihefu, Mbeya City, Mtibwa
Ibadilishenu jina muiite MECC9Mbeya kwanza haipo kwenye nafasi ya kushuka daraja ni ihefu tu ndo walituzingua wana mbeya
Ndio mkuu tunaitaji viongozi imara ili timu yetu iendelee kufanya vizuri1. Uongozi usije ukaruhusu au kuanzisha majungu na fitina.
2. Matumizi mabaya ya fedha hasa kutia kibindoni posho za wachezaji.
3. Kocha asibague wachezaji.
4 Mambo ya utaalamu liachiwe bench la ufundi.
5. Mashabiki wahamasishane kujitokeza kwa wingi uwanjani kuwazidi hata mashabiki wa Simba na yanga.
Kwa leo ni hayo tu.