masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,172
Leo mchana huu, kuna foleni ya kutisha hapa Mbeya.
Magari yanayotoka Iringa na maeneo ya Nanenane foleni ni bumber to bumber.
Kuna sehemu unasimama muda mrefu sana.
Hapo Uyole na Nanenane watakwama tu, muda si mrefu mimi nimepita hapo kwa mbinde!Kuna haja ya Viongozi kukwama kwenye foleni ili waone umuhimu wa kupanua barabara
Rais alikuwa anawasili huko Sasa sijui kama keshapitaView attachment 2710968
Leo mchana huu, kuna foleni ya kutisha hapa Mbeya.
Magari yanayotoka Iringa na maeneo ya Nanenane foleni ni bumber to bumber.
Kuna sehemu unasimama muda mrefu sana.
Rais alikuwa anawasili huko Sasa sijui kama keshapita
Atalifumua nadhani ukipita huko unaona kazi zinaendelea hapo mjiniKaribu Mbeya mh Rais Samia.
Jiji lililodumaa kimiundombinu.
Kuna haja ya Viongozi kukwama kwenye foleni ili waone umuhimu wa kupanua barabara
Nimeona tu pale Uyole miti inakatwa kando kando ya barabara.Atalifumua nadhani ukipita huko unaona kazi zinaendelea hapo mjini