Mbeya: CCM na Shitambala wamshukia Sugu

Mbeya: CCM na Shitambala wamshukia Sugu

Shitambala ninamweshimu sana. Hata mzee wa upako ikimuonaga Mwanasheria huyu hawez kusema lolote. Sugu kama anaweza amjibu mwanasheria huyo kama alivyo mjibu Mlugo. 96% huyu jamaa ndiye aliyemweka Sugu pale.

kumuheshimu wewe wafikiri ndo anaheshmika na kila mtu.mjinga kumuheshimu mpumbavu si ni kitu cha kawaida tu!
 
Shitambala ninamweshimu sana. Hata mzee wa upako ikimuonaga Mwanasheria huyu hawez kusema lolote. Sugu kama anaweza amjibu mwanasheria huyo kama alivyo mjibu Mlugo. 96% huyu jamaa ndiye aliyemweka Sugu pale.
Kumbe huyu Shitambala ndiye aliyepiga kura zote kwa Sugu!BAPUPEGHE umechemka mbaya.
 
Shitambala ninamweshimu sana. Hata mzee wa upako ikimuonaga Mwanasheria huyu hawez kusema lolote. Sugu kama anaweza amjibu mwanasheria huyo kama alivyo mjibu Mlugo. 96% huyu jamaa ndiye aliyemweka Sugu pale.

Mkuu Bapupeghe. Mbona umekimbia mi naomba tu unijulishe hapo Mzee wa upako anahusikaje. Pia yawezekana ukawa unamjua Shitambala vizuri njoo tujuze mambo.
 
Tuweke siasa kando, this is a wake up call to opposition parliamentalians. Watu wengi kwenye mitandao ya kijamii na vikundi vingine (rasmi na visivyo rasmi) wamekuwa wakihoji utendaji kazi wa wabunge kadhaa hapa nchini, sugu ni mmoja wapo.

Najua inaweza ikawa ngumu kumeza kwa wapenzi wa vyama, Sugu alipata mteremko pale Mbeya Mjini kutokana na udhaifu wa mgombea aliyesimamishwa na CCM.

Kwa haya ninayosoma na kusikia, kama CCM itakuwa kweli imejifunza kupitia makosa iliyofanya mwaka 2010 katika michakato ya ndani kutafuta wagombea wa kukiwakilisha chama hicho kwenye chaguzi mbalimbali za mwaka 2010 ambapo chama kiliwaengua kimizengwe wagombea wengi waliokuwa wanakubalika kwa wananchi na kuwapitisha wagombea waliowaamini wao kuwa wangepeperusha bendera ya chama vizuri basi upinzani utatakiwa ujidhatiti sana katika kutetea au hata kuongeza viti vingine vya udiwani na ubunge.

Kwa namna yoyote ile, uchaguzi ujao hautokuwa mwepesi kwa mgombea ama chama chochote kile. Wapiga kura na wananchi kwa ujumla wanazidi kujielewa, mwamko waliokuwa nao mwaka 2010 ni wazi utakuwa mara dufu ifikapo mwaka 2015 na utachagizwa sana na uwepo wa Katiba mpya.
 
Tuweke siasa kando, this is a wake up call to opposition parliamentalians. Watu wengi kwenye mitandao ya kijamii na vikundi vingine (rasmi na visivyo rasmi) wamekuwa wakihoji utendaji kazi wa wabunge kadhaa hapa nchini, sugu ni mmoja wapo.

Najua inaweza ikawa ngumu kumeza kwa wapenzi wa vyama, Sugu alipata mteremko pale Mbeya Mjini kutokana na udhaifu wa mgombea aliyesimamishwa na CCM.

Kwa haya ninayosoma na kusikia, kama CCM itakuwa kweli imejifunza kupitia makosa iliyofanya mwaka 2010 katika michakato ya ndani kutafuta wagombea wa kukiwakilisha chama hicho kwenye chaguzi mbalimbali za mwaka 2010 ambapo chama kiliwaengua kimizengwe wagombea wengi waliokuwa wanakubalika kwa wananchi na kuwapitisha wagombea waliowaamini wao kuwa wangepeperusha bendera ya chama vizuri basi upinzani utatakiwa ujidhatiti sana katika kutetea au hata kuongeza viti vingine vya udiwani na ubunge.

Kwa namna yoyote ile, uchaguzi ujao hautokuwa mwepesi kwa mgombea ama chama chochote kile. Wapiga kura na wananchi kwa ujumla wanazidi kujielewa, mwamko waliokuwa nao mwaka 2010 ni wazi utakuwa mara dufu ifikapo mwaka 2015 na utachagizwa sana na uwepo wa Katiba mpya.

Kwa nini tusikate huu mzizi wa fitna? Napendekeza tuorodheshe hayo mafanikio yaliotukuka ya wabunge wa ccm majimboni mwao
 
huyu jamaa shitambala naye si aligombea mbeya vijijini mbona alishindwa???? alimuwekaje sugu kama yeye mwenyewe alishindwa kujiweka??? acheni unafiki, plz muwage wakweli na unazi muwekage pembeni, huyo bwn anatwanga maji kwny kinu wanabaki kutapatapa.


Mkuu moja ya hoja ya kukosana na CDM huyu Advocate Shitambala ilikuwa ni kukubali matokeo ya jimbo alilogombea kupindishwa na hatimaye jimbo likachukuliwa na CCM,so kwa mujibu wa CDM Shitambala alishinda jimbo lile kiuhalali lakini akahongwa na ccm kukubali matokeo yapindishwe.

My take: Sugu alikosea sana kumzodoe Mulugo kwa kiwango chake cha elimu wakati yeye hata hiyo Digrii ya kuungaunga hana. Siasa za Bongo bana raha sana eti elimu ya darasa la 12 dah!!!!
 
Asitoe matamko kwenye vyombo vya habari. Aitishe mkutano wa hadhara amwage ----- wake huo.
 
Shitambala ninamweshimu sana. Hata mzee wa upako ikimuonaga Mwanasheria huyu hawez kusema lolote. Sugu kama anaweza amjibu mwanasheria huyo kama alivyo mjibu Mlugo. 96% huyu jamaa ndiye aliyemweka Sugu pale.
Kwani Sugu hakupigiwa kura na watu wa Mbeya? Ubunge wake ni wa kuteuliwa na Shitambala?...
 
Eti alimuweka!!kwahiyo wananchi wa mbea nikizazi chake?anachekesha sana huyo msaliti kauza ubunge nayeye kanunuliwa!mwacheni watoto wake watamuumbua tu hizi nizama za m4c ya chadema 2015 asijipitishe mbeya kwa usaliti wake ataweza kufa mapema sana,sasa mwanaume unanunuliwa kumbe anaweza kuuza hata nyuma kwake yaani tgo
 
Kuonesha watu wa mby wamechoka na viroba, mwezi julai na agast kulikuwa na uchaguzi wa serikal za mitaa, hebu tukumbushe cdm walipata ngapi na sisi M, walipata vingapi? Nasemea mby mjini.
 
Shitambala ninamweshimu sana. Hata mzee wa upako ikimuonaga Mwanasheria huyu hawez kusema lolote. Sugu kama anaweza amjibu mwanasheria huyo kama alivyo mjibu Mlugo. 96% huyu jamaa ndiye aliyemweka Sugu pale.

Mbona ni vichekesho ,Shitambala kamweka Sugu ! Siyo wananchi tena ? Mbona Shitambala alishindwa kujiweka mwenyewe ? Kwa sasa hivi hakuna yeyote mwenye nia ya kuleta maendeleo nchi hii atoke Chadema aende Ccm , hata wewe unajua kwamba kilichompeleka Shitambala ccm ni hela tu .
 
majimbo yaliyo chini ya wabunge hodari wa cdm ,ccm wasahau kuyarudisha kwani kunahitajika si tu sera nzuri pia hawataki kusikia kitu kinaitwa ccm .wasahau wasahau kwani ukombozi ndo umeanza na majimbo haya hata huyu shitambala anatakiwa akombolewe kifikra bado ana mawazo ya zamani sana ,wana mbeya wa leo ni wajanja
 
Shitambala ninamweshimu sana. Hata mzee wa upako ikimuonaga Mwanasheria huyu hawez kusema lolote. Sugu kama anaweza amjibu mwanasheria huyo kama alivyo mjibu Mlugo. 96% huyu jamaa ndiye aliyemweka Sugu pale.

Nahisi kama mnaendelea kuchezea akili za watu hapa vile, Shitambala alikua anagombea Mbeya Vijijini na alikua akiendelea na kampeni zake ili naye aingie Bungeni, sasa hapo ilikuaje achangia hizo % ulizoweka hapo mkuu, unaweza kuwa busy na chungu cha mwenzio while huna hakika na chungu chako? Guys let us by serious for sometimes, Chitambala tunajua kua alishinda uchaguzi ule kule vijijini lakini kiu na tamaa ya pesa akamfikisha hapo alipo leo, mikutano ya Sugu na Mbeya yake wote huwa tunaiona, watu wa Mbeya waliisha tamka kuwa Rais wao ni Sugu, kama issue ya maandamano, mbona kila wakati hua yanasababishwa na serikali yenyewe, rejea maandamano ya wamachinga wakati ule, mkono wa Sugu pale ulikua wapi? Kwanza alikua zake Dodoma, nakumbuka hadi jeshi liliingilia kati lakini Sugu alipofika tu from dodoma, mambo yakawa sawa, Wasomi type ya Shitambala ndio janga lenyewe la taifa, hawaelezi kiini cha tatizo, huangalia matumbo yao then na ubongo wanahamishia huko huko tumboni, Bora Form 4 ya Sugu kuliko degree za akina Shitambala, Mchemba, Nape na hata Amini! Sijaona impact za elim zao kwa nchi au hata sehemu ambazo wanakotoka, Nendeni Singida anakotoka bwana Chemba mwone.
 
Kuonesha watu wa mby wamechoka na viroba, mwezi julai na agast kulikuwa na uchaguzi wa serikal za mitaa, hebu tukumbushe cdm walipata ngapi na sisi M, walipata vingapi? Nasemea mby mjini.

Bapupeghe , labda unihakikishie kama utakufa wiki ijayo ! Vinginevyo usitarajie maendeleo yoyote tena chini ya CCM nchi hii .
 
Mkuu moja ya hoja ya kukosana na CDM huyu Advocate Shitambala ilikuwa ni kukubali matokeo ya jimbo alilogombea kupindishwa na hatimaye jimbo likachukuliwa na CCM,so kwa mujibu wa CDM Shitambala alishinda jimbo lile kiuhalali lakini akahongwa na ccm kukubali matokeo yapindishwe.

My take: Sugu alikosea sana kumzodoe Mulugo kwa kiwango chake cha elimu wakati yeye hata hiyo Digrii ya kuungaunga hana. Siasa za Bongo bana raha sana eti elimu ya darasa la 12 dah!!!!

bora uwe na elmu ndogo ya ukwel kulko kubwa ya uongo,labda haukuelewa maneno ya sugu mckurupuke il muonekane great thnkers..
 
Si angeitisha mkutano wa hadhara ndio ayasema hayo.!
 
Vigezo vitokane hasa na uwezo wa kujenga hoja jukwaani , uaminifu ( kwa maana ya kutojihusisha na rushwa )
, uwezo wa kutatua migogoro ya kijamii , uwezo wa kuhamasisha maendeleo na kupendwa na wananchi wa Mbeya mjini .
 
Back
Top Bottom