Mwanongwa
JF-Expert Member
- Feb 15, 2023
- 866
- 805
Baada ya malalamiko ya muda mrefu na baadae kusababisha madereva kugoma kulipa ushuru , hatimaye halmashauri ya Jiji la Mbeya imeanza kurekebisha barabara za stand hiyo.
Ni muda mrefu Sasa stand hiyo na Nanenane imekuwa na miundombinu mibovu ya Barabara.
Halmashauri ya jiji jitahidi kufanya marekebisho Kwenye maeneo ambayo yanawaingizia kipato siyo mpaka watu wagome kutoa ushuru
Soma Pia: KERO - Stendi ya Mabasi na Daladala ya Nanenane - Mbeya ina mashimo, mamlaka zisisubiri mgomo
Ni muda mrefu Sasa stand hiyo na Nanenane imekuwa na miundombinu mibovu ya Barabara.
Halmashauri ya jiji jitahidi kufanya marekebisho Kwenye maeneo ambayo yanawaingizia kipato siyo mpaka watu wagome kutoa ushuru
Soma Pia: KERO - Stendi ya Mabasi na Daladala ya Nanenane - Mbeya ina mashimo, mamlaka zisisubiri mgomo