Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 4,716
- 11,060
Juzi nilikuwa nasafiri pale mwanza sehemu moja inaitwa busisi ....ikapita gari moja nikaiwahi kwa nyuma nikapiga bodi ili gari ili isimame , akashuka jamaa mmoja mrefu ana kipara ......akaanza kutamba pale..akauliza nani kapiga bodi! Nani kapiga bodi.......bodaboda wote waliokuwa pale kimyaaa, nikajitokeza mimi nikasema mimi ndie nimepiga bodi...jamaa akasema nitakupasua nikamuambia umpasue nani wewe mpumbavu wa magufuri...jamaa akachachamaa bodaboda ndio waliokuja kuamua.....kumbe mbwembwe zote zile jamaa anamiliki bastora😁