Mbeya: Auawa kwa kupigwa Risasi kisa kudai ushuru wa maegesho wa shilingi 7,500

Juzi nilikuwa nasafiri pale mwanza sehemu moja inaitwa busisi ....ikapita gari moja nikaiwahi kwa nyuma nikapiga bodi ili gari ili isimame , akashuka jamaa mmoja mrefu ana kipara ......akaanza kutamba pale..akauliza nani kapiga bodi! Nani kapiga bodi.......bodaboda wote waliokuwa pale kimyaaa, nikajitokeza mimi nikasema mimi ndie nimepiga bodi...jamaa akasema nitakupasua nikamuambia umpasue nani wewe mpumbavu wa magufuri...jamaa akachachamaa bodaboda ndio waliokuja kuamua.....kumbe mbwembwe zote zile jamaa anamiliki bastora😁
 
Mtu mmja aliyejulikana kwa jina la William Mgaya ambaye ni wakala wa kukusanya ushuru wa magari ameuawa kwa kupigwa risasi na mfanyabiashara wa madini kutoka Chunya.

Polisi wa Mbeya wanamshikilia mtuhumiwa kwa hatua zaidi za kisheria.

My Take
Serikali kuweni makini na kuwapa watu silaha, siyo kila mwenye vijisenti anafaa kupewa silaha.

----
Polisi mkoani Mbeya inamshikilia Ezekia Luhwesha (31) mchimbaji na mnunuzi wa madini mkazi wa Matundasi Chunya,kwa tuhuma za kumuua kwa kumpiga risasi wakala wa maegesho ya magari William Mgaya (58) baada ya kumshinikiza alipe deni la Sh.7500 ya uegeshaji gari lake (Toyota Hilax)

Watu wa madini akili zao sio Sawa, kuua na kuuwawa ni kama mchezo hivi.
 
Kalipa 7000 bado 500
Screenshot_20221127-185329_GePG%20Tanzania.jpg
 
Jambo lipo hivi jamaa alikamatwa gari ikapigwa Chain si mnajua vihelehele via hawa jamaa then wakapeleka Gari yard kwao kule ndio jamaa akawaomba arudi kulipa baadae ndipo marehem akaenda Ku block gate na ndani ya Gari kulikuwa na mzigo wa dhahabu jamaa ndio katoka polini
IMG-20221127-WA0001.jpg
 
Ukiwa na silaha unajisikia kama kupiga piga hivi silaha inakushawishi sana we uoni polisi wakiwa nazo smg kwenye lindo za bank uwa wanavyojiona..
... sijui al-Hamza aliwapatia vipi hadi kuwapora 2 mchana kweupe akiibukia baharini pale Ambassade de France! Al-Hamza chimbo lake lilikuwa huko huko Chunya; panatakiwa kumulikwa.
 
Mtu mmja aliyejulikana kwa jina la William Mgaya ambaye ni wakala wa kukusanya ushuru wa magari ameuawa kwa kupigwa risasi na mfanyabiashara wa madini kutoka Chunya.

Polisi wa Mbeya wanamshikilia mtuhumiwa kwa hatua zaidi za kisheria.

My Take
Serikali kuweni makini na kuwapa watu silaha, siyo kila mwenye vijisenti anafaa kupewa silaha.

----
Polisi mkoani Mbeya inamshikilia Ezekia Luhwesha (31) mchimbaji na mnunuzi wa madini mkazi wa Matundasi Chunya,kwa tuhuma za kumuua kwa kumpiga risasi wakala wa maegesho ya magari William Mgaya (58) baada ya kumshinikiza alipe deni la Sh.7500 ya uegeshaji gari lake (Toyota Hilax)

Huyu mfanya biashara lazima tu atakuwa ni Mwanaccm
.

Samahani lakini. Poleni wafiwa. Jamaa tayari katoa kafara.

Imeisha hiyo.
 
The psychology behind owning a gun watching American movies ni kitu watu hawaelewi. A gun will make you live a gangster life, treating everyperson who throw dirty words an enemy then kaboom for no life saving reason u kill🙂

The moment you own a cobalt or the like around you, you feel like nobody should even answer you,You hardly use common sense everything feels kukinukisha.....
Kuna wenye bunduki wastaarabu tu
 
Back
Top Bottom