Mbele ya mtumishi wa Mungu mume bila woga akafungua zipu na kuitoa......! Kisha akaanza kuiingiza taratibu huku wa2 wakiwa hawaamini..! Akaendelea mpaka ikaingia yote na kukaza vizuri kwa mkewe. Wa2 wakashangaa kwa nderemo na vifijo, wakashangilia vile ilivyokua inaingia yote ile "PETE".