Dr wa ukweli
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 900
- 264
Nimefanya utafiti kwa watu na sehemu mbalimbali mwafrika au ngozi nyeusi akizaa na mzungu/ngoz nyeupe anazaliwa mtoto mweusi au mweupe lakini ngozi yake itabase sana kiarifca.
ikiwa mwanaume ni black akizaa na mzungu mwanamke = anatoka mtoto black
ikiwa mwanamke ni balak akizaa na mzungu mwanaume = anatoka mtoto black
katika hayo mawili sijakutana na mchanganyiko wa mzungu na mwafrika weusi akatokea mtoto mzungu inamaana kibiologia mbegu za ngozi nyeusi zina nguvu sana au damu ya kizungu ikikutana na ya black inamezwa!
wale wataalam watatujuza zaidi
ikiwa mwanaume ni black akizaa na mzungu mwanamke = anatoka mtoto black
ikiwa mwanamke ni balak akizaa na mzungu mwanaume = anatoka mtoto black
katika hayo mawili sijakutana na mchanganyiko wa mzungu na mwafrika weusi akatokea mtoto mzungu inamaana kibiologia mbegu za ngozi nyeusi zina nguvu sana au damu ya kizungu ikikutana na ya black inamezwa!
wale wataalam watatujuza zaidi