Mbegu za kiafrika Vz Mbegu za kizungu

Nimefanya utafiti kwa watu na sehemu mbalimbali mwafrika au ngozi nyeusi akizaa na mzungu/ngoz nyeupe anazaliwa mtoto mweusi au mweupe lakini ngozi yake itabase sana kiarifca.

ikiwa mwanaume ni black akizaa na mzungu mwanamke = anatoka mtoto black
ikiwa mwanamke ni balak akizaa na mzungu mwanaume = anatoka mtoto black

katika hayo mawili sijakutana na mchanganyiko wa mzungu na mwafrika weusi akatokea mtoto mzungu inamaana kibiologia mbegu za ngozi nyeusi zina nguvu sana au damu ya kizungu ikikutana na ya black inamezwa!

wale wataalam watatujuza zaidi

Chukua rangi ya kawaida tu nyeusi na nyuepe then changanya kwa kiasi kinachofanana uone utakachopata. Lazima rangi nyeusi itaitibua nyeupe. Weupe hauwezi kuhimili weusi. Kwa theory hiyo, mimi sishangai kuona damu ya black ni kali zaidi ya white.
 
Nina wasiwasi sana huo utafiti wako ambao umepelekea hiyo conclusion ambayo nadhani ina walakini. Kwa mfano, huo utafiti wako umeufanyia sehemu gani, na umehusisha watu wangapi mpaka ukatamatisha hivyo. Je sample zako zilihushisha nchi kama U.S.A na Brazil, nchi ambazo nadhani ndio zinazoongoza kwa mix-mariages (MISCEGENATION) dunian.

Nasema hivyo kwa sababu, binafsi nimewaona watoto wengi wa mix ya baba mzungu na mama mweusi na ambayo watoto (sio moja tu) wamechukuwa rangi ya baba na moja wa kike akazaliwa kama mama yake ki rangi. Ndio maana sikubaliani na hiyo conclusion yako.
 
sikatai machojaribu kueleza hapa hapa ni kwanini wakikutana black na mzungu wasitoe mtoto wa kizungu? mfano Mary Chitanda akizaa na Bushi asitokee mtoto mzungu kama bushi? lakini mtu kama Wasira akizaa na Queen Elizabeth anatokea mtoto black kama obama au pinda
inategemea kama Mary Chitanda ni mzungu au mwafrica
 
hapo ngoja nimuulize Sophia Simba asibitishe

http://www.techbanyan.com/wp-content/uploads/2010/07/black-parents-white-baby-2-225x300.png
black-parents-white-baby-2-225x300.png
 
Huo utafiti wako ni wa kizushi!Nna rafiki yangu mwenye mchanganyiko na ni mzungu zaidi mpaka hatambuliki haraka kwamba ana weusi mpaka amwambie mtu!Mwenyewe anapenda kuonekana/kutambulika kama mweusi ila watu hawauoni weusi wake!Na huo ni mfano mmoja tu..kuna mshkaji mwingine ukimwona hata huwezi kufikiria ni mchanganyiko!

Ameongelea walio wengi, ndio maana ya utafiti sampling! ila hata mimi najua pale Kijitonyama yule jamaa alikuwa na mzungu watoto wake ni wazungu pure au ndio Mtoto kazaliwa Mhindi, mtoto kazaliwa mwarabu huo wimbo bado upo?!!
 
Back
Top Bottom