Rosweeter
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 1,171
- 4,432
View attachment 46358Umenikumbusha hii kitu ritz! Nimeimiss sana!!
Swadakta.... Narudi nyumbani ee, aha aha, nyumbani eee aha aha, nyumbani ni nyumbani hata kukiwa kubaya au kuzuri, kwa baba yako ni nyumbani kwa baba yako ni kwako...................
Source: Remmy Ongala