Mbege nzuri inatengenezwa vipi

hahahah mkwe acha kuchafua screen nakuandali visichana viwili lol!!! ile fresh haina msesewi inaitwa kifue nzuri balaa

Hahahaha. . .
Embu niandalie mkwe maana nilivyo na kiu nayo ni balaa. Alafu ntakupenda mpaka nipate mkwe mwingine anaejua nini napenda.
 
Hamna cha kudeliver hapa...nakufuata huko huko tunaria wote!! raha ya mbege ni kuinywa pamoja!!

Hahaha. . . sindo nakuja nayo tunaria wote huu wari mtamu? Au basi Osho turie kipande hii!!
 
Ukisha tengeneza mbege nzuri nani atakunywa NDOVU?

Unafikiri bei ya alubamu moja na bei ya ndovu kuna tofauti basi? Kule kwetu kuna kitu inaitwa "sharaba" -- bei ya hiyo malighafi hata bia haikuti. Elufu hizo ... mbili!
 
Wanabodi,
Naitaji msaada wenu jinsi ya kutengeneza Mbege nzuri..

Yoyote mwenye kujua naomba anielekeze jinsi maandalizi yake na vifaa gani vinavyotakiwa.

Nipeni maujanja ya kutengeneza Mbege wana JF.

Ndio njia ya kujua nani MwanaJF ni mchaga?
 
Dah!!Inawezekana ehhhh?

Wengine tuna skills za kufanya kazi kwenye intelligence agencies lakini hatukubahatika kupata hizo nafasi. LOL.

Kuna kitu kinaitwa "intelligence analysis" na nimeshaona threads nyingi tuu hapa JF zimewekwa kimtindo huo. Intelligence analysis is the process of taking known information about situations and entities of strategic, operational, or tactical importance, characterizing the known, and, with appropriate statements of probability, the future actions in those situations and by those entities. The descriptions are drawn from what may only be available in the form of deliberately deceptive information. The analyst must correlate the similarities among deceptions and extract a common truth.

This practice is commonly found in its purest form inside intelligence agencies. Its methods are also applicable in fields such as business intelligence or competitive intelligence. Sasa unadhani Ritz anafanya au anataka kufungua biashara ya mbege mpaka afanye inteligence analysis?


Kwani Mbege wanaotengeneza Wachaga tu? Mbona hata Musoma, Ngara, wanatengeneza Mbege.

Sio wachaga tuu wanaotengeza mbege lakini kati ya hao watu watakaojibu thread yako asilimia 80 watakua ni wachaga au wana link na wachaga. So, katika analysis yako, hii itakurahisishia ku-narrow down JF members ambao ni wachaga. From there, you know what next. Au niendelee?
 
Wengine tuna skills za kufanya kazi kwenye intelligence agencies lakini hatukubahatika kupata hizo nafasi. LOL.

Kuna kitu kinaitwa "intelligence analysis" na nimeshaona threads nyingi tuu hapa JF zimewekwa kimtindo huo. Intelligence analysis is the process of taking known information about situations and entities of strategic, operational, or tactical importance, characterizing the known, and, with appropriate statements of probability, the future actions in those situations and by those entities. The descriptions are drawn from what may only be available in the form of deliberately deceptive information. The analyst must correlate the similarities among deceptions and extract a common truth.

This practice is commonly found in its purest form inside intelligence agencies. Its methods are also applicable in fields such as business intelligence or competitive intelligence. Sasa unadhani Ritz anafanya au anataka kufungua biashara ya mbege mpaka afanye inteligence analysis?

EMT nimekusoma , nimekupata na nimekubali. Inawezekana ikawa hivyo kweli ila bado najiuliza kama ni kweli na amepata majibu yake then what!!?Utafiti wake unaishia hapa au unafika mbali zaidi? Embu Ritz niambie!!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Unanunua makunduu, unaroweka kwa siku kadhaa kwenye kihondi (3 days), kisha unayapika mpaka yaive kabisa!
na kubadilika rangi kuwa dark brown! Unaacha Makundu yapoe kisha nayo unayaweka kwenye kihondi chake mpaka kesho yake
(1 DAY),
Baada ya hapo unachukua mfuko wa mahindi maarufu kama SAFLET, Unauosha vizuri uhakikishe ni msafi kabisa na haujatoboka mahali, Kifuatacho unajaza yale makunduu kidogo kidogo kwenye ule mfuko wa saflet kisha unaanza kukamua! ili kutenganisha majimaji yanayotoka kwenye makunduu na ile hard material yaani makundu yenyewe(at this stage hatuhitaji ile hard material ila yale maji maji yake tu..yanayoitwa "olea") kwahiyo unaikamua kistadi mpaka iishe na unakuta tayari yameshakaa mkao wa kumixiwa na bidhaa ingine ili upate mbege!
Bidhaa hiyo ni zao la mbege liitwalo unga wa ulezi. Huu unaupika kama uji wa ulezi hivyo hivyo halafu ukishapoa unaenda kuumix kwenye ile "OLEA"..kumbuka ili mbege iwe kali na yenye ladha nzuri mixture yote ifanyike kwenye Kihondi! , ukishamix unaiache ilale usiku kucha kabla ya kuanza kutumiwa, ..Ile waste products inayopatikana baada ya kukamua makunduu usiitupe ni chakula nzuri sana ya Nguruwe.

NB:
1)Makunduu - ni ndizi aina mbalimbali zilizowiva amabazo hutumika kupikia pombe.
zinapatikana sana masoko ya moshi sijui huko dar!
2)Kihondi - Ni chombo maalum cha kuwekea pombe kimetengenezwa na gogo kubwa la mti na kinaweza kuweka litre 80 na kuendelea za pombe.
3)Olea - Ni Juice inayotoka kwenye makunduu kwenye mchakato wa kutengeneza pombe..hii haileweshi!
Utaalamu huu niliuona kwa bibi yangu(R.i.p) kule old Moshi sango karibu na mjororoni!

R.I.P bibi,mafunzo yake yataendelea kuwa hai.
 
Unafikiri bei ya alubamu moja na bei ya ndovu kuna tofauti basi? Kule kwetu kuna kitu inaitwa "sharaba" -- bei ya hiyo malighafi hata bia haikuti. Elufu hizo ... mbili!

chezeya sharaba wewe!!!
Hiyo ukinywa hutataka bia tena. Ukiipata ya baridi, halafu hii makitu haina hangover!! Bora iwekwe msesewe....ukiweka msesewe kichwa itauma mwaka mzima.
 
EMT nimekusoma , nimekupata na nimekubali. Inawezekana ikawa hivyo kweli ila bado najiuliza kama ni kweli na amepata majibu yake then what!!?Utafiti wake unaishia hapa au unafika mbali zaidi? Embu Ritz niambie!!

Inategemea information aliyoipata anataka kuifanyia nini. But generally, an intelligence analyst absorbs incoming information, evaluate it, produce an assessment of the current state of affairs within an assigned field or substantive area, and then forecast future trends or outcomes. Or the finding may help him/her to carry out a further analysis.

So, who knows labda Ritz atakuja na thread nyingine to even narrow down wachaga wa JF waliochangia kwenye hii thread kuhusu mbege ya Machame, Kibosho, Marangu, Old Moshi, nk? Au atakuwa anamonitor hao waliompa techniques za kutengeneza mbege nzuri huwa wanapost nini hapa JF? I don't But starting from general to specific is the best way to find what you want.

Is it by coincidence that wachaga huwa wanajadiliwa sana hapa JF? If so mpaka hata their traditional drinks? Ritz anadai mbege haitengenezwi Uchagani tuu. But at the same time anataka kujua mbege nzuri inatengenezwa wapi. Ni watu gani zaidi ya wachaga watakaomwelewesha jinsi ya kutengeneza the best mbege anayoitaka? Otherwise atakuwa kama Prince William aliyeenda kujifunza Kiswahili Kenya.
 
Mnajipa wasiwasi wa bure, mpaka nimeshaangaa sasa mie nitafute wachaga wa nini?
 
Back
Top Bottom