Mbatia wa Mama Tanzania yupo wapi?

Mbatia wa Mama Tanzania yupo wapi?

2015 pamoja na nguvu ya UKAWA aliambulia kiti 1 cha ubunge, mwaka huu ndio awe chama kikuu cha upinzani [emoji23][emoji23][emoji23]
Meko alichofanikiwa ni kuua NCCR mageuzi na CUF ya Lipumba Completely, kawaingiza chaka sana.
Meko anakuharibia kotekote chek waunga juhudi waliwahi siti za mbele kwa kudanganywa eti upinzani utakufa,kumbe wanakwenda kufa wao.Kina karanga walihama kwa mkopo leo wanajuuta,mbele wameharibiwa nyuma wameharibiwa.
 
Swahiba wake anaendelea vema na kampeni
IMG-20200910-WA0101.jpg
 
Hivi wale wabunge waliokuwa chadema wakahamia nccr mbona siwasikii
 
Hahaha Mbatia kazoea kuteuliwa, kajituliza huko aliko hana hata muda wa kufanya kampeni Vunjo, anasubiria huruma za ccm.

Kinachonishangaza licha ya uwingi wa maccm yanayosubiria kuteuliwa lakini Mbatia pia hupata nafasi, sijui aliwapa nini ccm?!

Ukawa walikuwa wanatembea na kulala na kunguni nguoni mwao, Mbatia na Lipumba ni hatari kwa vyama vyenye watu makini kama Chadema.
 
1599748740351.jpeg


Mbatia alienda ikulu akatoka na ahadi ya wabunge 20 akapita mikoa miwili mitatu kuvuna Wanachama wa Chadema na ACT Wazalendo, mara paap Lissu karejea nchini kaaribu mpango mzima.

Waliomtuma Mbatia wakajitafakari wakaona kazi si ndogo na wao tu inawashinda, wakapiga chini Mbatia bila hata pesa ya mafuta ya kampeni. Leo hata kutoka hadharani na mama Tanzania hatoki amebaki ndani.

Wale wanachama aliovuna Mbeya na Mara sijui hata kama wanakumbuka mama Tanzania.

Ukiwa msaliti kubali kusalitiwa, amwone Lipumba alivyoachwa solemba. Kila mtu ashinde mechi yake, ukiwekeza kwa wananchi utavuna kura ila ukiwekeza kwa watawala utavuna kutawaliwa.
 
Mama Tanzania ni mchaga kaona upepo sio wake 60 mln alizopewa advance kafungulia genge pale boma la ng'ombe
Na vunjo ni vita ya watu wanne
 
Mbatia alienda ikulu akatoka na ahadi ya wabunge 20 akapita mikoa miwili mitatu kuvuna Wanachama wa Chadema na ACT Wazalendo, mara paap Lissu karejea nchini kaaribu mpango mzima.

Waliomtuma Mbatia wakajitafakari wakaona kazi si ndogo na wao tu inawashinda, wakapiga chini Mbatia bila hata pesa ya mafuta ya kampeni. Leo hata kutoka hadharani na mama Tanzania hatoki amebaki ndani.

Wale wanachama aliovuna Mbeya na Mara sijui hata kama wanakumbuka mama Tanzania.

Ukiwa msaliti kubali kusalitiwa, amwone Lipumba alivyoachwa solemba. Kila mtu ashinde mechi yake, ukiwekeza kwa wananchi utavuna kura ila ukiwekeza kwa watawala utavuna kutawaliwa.
Hahhaa nae alikuja na jina la mama Tanzania
 
Back
Top Bottom