Mbatia wa Mama Tanzania yupo wapi?

Mbatia wa Mama Tanzania yupo wapi?

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Mbatia alienda ikulu akatoka na ahadi ya wabunge 20 akapita mikoa miwili mitatu kuvuna Wanachama wa Chadema na ACT Wazalendo, mara paap Lissu karejea nchini kaaribu mpango mzima.

Waliomtuma Mbatia wakajitafakari wakaona kazi si ndogo na wao tu inawashinda, wakapiga chini Mbatia bila hata pesa ya mafuta ya kampeni. Leo hata kutoka hadharani na mama Tanzania hatoki amebaki ndani.

Wale wanachama aliovuna Mbeya na Mara sijui hata kama wanakumbuka mama Tanzania.

Ukiwa msaliti kubali kusalitiwa, amwone Lipumba alivyoachwa solemba. Kila mtu ashinde mechi yake, ukiwekeza kwa wananchi utavuna kura ila ukiwekeza kwa watawala utavuna kutawaliwa.
 
Chadema mbunge atakayeshinda ni Mbowe na Prof Jay tu.
 
wako chobisi - chobingo wanamaliziaa uandaaji wa manifesto ya uchaguzi 2020 - 2025
 
fec38b66-f64c-49ce-8ddd-034148653a0b.jpg

Uyu hapa
 
2015 pamoja na nguvu ya UKAWA aliambulia kiti 1 cha ubunge, mwaka huu ndio awe chama kikuu cha upinzani [emoji23][emoji23][emoji23]
Meko alichofanikiwa ni kuua NCCR mageuzi na CUF ya Lipumba Completely, kawaingiza chaka sana.
 
Mbatia alienda ikulu akatoka na ahadi ya wabunge 20 akapita mikoa miwili mitatu kuvuna Wanachama wa Chadema na ACT Wazalendo, mara paap Lissu karejea nchini kaaribu mpango mzima.

Waliomtuma Mbatia wakajitafakari wakaona kazi si ndogo na wao tu inawashinda, wakapiga chini Mbatia bila hata pesa ya mafuta ya kampeni. Leo hata kutoka hadharani na mama Tanzania hatoki amebaki ndani.

Wale wanachama aliovuna Mbeya na Mara sijui hata kama wanakumbuka mama Tanzania.

Ukiwa msaliti kubali kusalitiwa, amwone Lipumba alivyoachwa solemba. Kila mtu ashinde mechi yake, ukiwekeza kwa wananchi utavuna kura ila ukiwekeza kwa watawala utavuna kutawaliwa.

Lini umewahi ona mwanasiasa yeyeto toka upinzani akashine kwa kufunga ndoa na ccm.
Alikataa ndoa ya ukawa hata Diwani apati.
Leo amekaa kundi moja na waunga juhudi
 
Mbatia alienda ikulu akatoka na ahadi ya wabunge 20 akapita mikoa miwili mitatu kuvuna Wanachama wa Chadema na ACT Wazalendo, mara paap Lissu karejea nchini kaaribu mpango mzima.

Waliomtuma Mbatia wakajitafakari wakaona kazi si ndogo na wao tu inawashinda, wakapiga chini Mbatia bila hata pesa ya mafuta ya kampeni. Leo hata kutoka hadharani na mama Tanzania hatoki amebaki ndani.

Wale wanachama aliovuna Mbeya na Mara sijui hata kama wanakumbuka mama Tanzania.

Ukiwa msaliti kubali kusalitiwa, amwone Lipumba alivyoachwa solemba. Kila mtu ashinde mechi yake, ukiwekeza kwa wananchi utavuna kura ila ukiwekeza kwa watawala utavuna kutawaliwa.
...well said
 
Back
Top Bottom