Mbatia LIVE Azam two...

Mbatia LIVE Azam two...

Ukiona mtu anawataja sana wachaga ujue umaskini unammaliza na hizo ni kauli za wivu kwa wachaga
 
Mbatia kajimaliza yeye mwenyewe na chama chake kwa kujiunga UKAWA. Halafu asivyo na aibu anaushughuliki mgogoro ndani ya chama chake kwa kujizulia eti watu wanataka kumuua, hii yote ni janja ya kitoto kuzima mjadala wa mgogoro ndani ya chama chake.
 
Mbatia kajimaliza yeye mwenyewe na chama chake kwa kujiunga UKAWA. Halafu asivyo na aibu anaushughuliki mgogoro ndani ya chama chake kwa kujizulia eti watu wanataka kumuua, hii yote ni janja ya kitoto kuzima mjadala wa mgogoro ndani ya chama chake.
 
tuna imani na we we mbatia na sio wale wachumia tumbo waliokula pesa za ccm ili kuchelewesha mabadiliko
 
Back
Top Bottom