Mbatia LIVE Azam two...

Mbatia LIVE Azam two...

Hata mie nimemchoka kabisa.hata yeye anajua kwamba mama Tanzania haimo moyoni mwake.ni gia yakupiga dili
 
Our dear complainant Mbatia, how old are you ? Kuna wakati Mh Mrema aliwahi kusema huyu mtu achunguzwe j....a yake !


Anawasihi watanzania kudumisha amani iliyopo na kuwapuuza CCM kwa matamko wanayoashiria kuvunja amani ya nchi yetu.
Anasema waepuke dhana inayojengwa kwa chuki ya udini ukabila na ukanda kwamba huu ni uvivu wa kufikiri kwa viongozi wa CCM
 
Wakati anawakilisha nccr ukawa Bila kushirikisha members wenzie alijiona mjanja
 
Ndo maana jimbon kwake madiwan wa chadema wametangaza kutomuunga mkono kwenye harakat za kampen na Leo wanachama wa vyama vinavyounda ukawa na viongoz wao wapatao 600 wamevihama vyama hvyo mwka huu ukawa itakua ukiwa
Wewe kama point hulazimishwi kuchangia
 
Ndo maana jimbon kwake madiwan wa chadema wametangaza kutomuunga mkono kwenye harakat za kampen na Leo wanachama wa vyama vinavyounda ukawa na viongoz wao wapatao 600 wamevihama vyama hvyo mwka huu ukawa itakua ukiwa

Kama ilivyokua chaguzi zote toka 1995 ?Wanavunjo wanafahamu faida ya mabadiliko.
 
Mbatia anawaelimisha Wananchi juu ya Ukweli wa mambo...Na nini kinaendelea ktk ukawa...kwa ujumla
 
Back
Top Bottom