AMARIDONG
JF-Expert Member
- Jun 24, 2010
- 2,502
- 180
Mbunge James Mbatia wa CCM C ameapa kuhamasisha bunge kuipinga bajeti ya Waziri Mwakyembe na kuhakikisha waziri huyo anapata shida kwani ni mzushi na amekuwa akiwasingizia wakuu wake kummwagia sumu.
Akizungumza kwa uchungu jana pale T Square alipokuwa akipata moja baridi moja moto akiwa na marafiki zake kama wanne hivi walioonekana kumsikiliza kwa umakini Mbatia alisema piga ua bajeti hiyo haitapita kwani anaamini japo aliondoka bungeni miaka mingi bado rafiki zake wengi wako bungeni akiwataja kina Mama Kilango na Olesendeka na akasisitiza kwanza Mama Kilango lazima aniunge mkono maana alikuwa rafiki mkubwa wa sister na yuko kwenyenye Kamati ya BUnge ya Miundombinu.
""NInaushawishi bana na kazi yangu ya kwanza itakuwa kupambana na Mwakyembe mwanzo mwisho",alipoulizwa ndio kazi aliyotumwa na aliyemteua Mbatia alikuwa mbogo na kusema yeye ni mtu imara na anafanya maamuzi yake mwenyewe.
Source: MIMI MWENYEWE NILIKUWEPO ENEO LA TUKIO
Akizungumza kwa uchungu jana pale T Square alipokuwa akipata moja baridi moja moto akiwa na marafiki zake kama wanne hivi walioonekana kumsikiliza kwa umakini Mbatia alisema piga ua bajeti hiyo haitapita kwani anaamini japo aliondoka bungeni miaka mingi bado rafiki zake wengi wako bungeni akiwataja kina Mama Kilango na Olesendeka na akasisitiza kwanza Mama Kilango lazima aniunge mkono maana alikuwa rafiki mkubwa wa sister na yuko kwenyenye Kamati ya BUnge ya Miundombinu.
""NInaushawishi bana na kazi yangu ya kwanza itakuwa kupambana na Mwakyembe mwanzo mwisho",alipoulizwa ndio kazi aliyotumwa na aliyemteua Mbatia alikuwa mbogo na kusema yeye ni mtu imara na anafanya maamuzi yake mwenyewe.
Source: MIMI MWENYEWE NILIKUWEPO ENEO LA TUKIO