nasikia kwa aibu baada ya kushuhudia demokrasia ya uchaguzi nccr,mbowe kaamua uchaguzi ufanyike june,atagombea nafasi ya uenyekiti wa cdm na kamanda yerico nyerere.
Anzisha uzi wa kumponda Mbowe kama kawaida yako! Kwa taarifa yako, hata waliomtuma Zitto kuihujumu CDM wanajua kuwa bora umfadhili Mbuzi kuliko Msaliti Zitto! BTW, kwanini Maranda, Kaborou, Kafulia na Zitto? Kwanini JKN aliwapotezea? Kwanini hawa watu wana-nunulika kirahisi sana?...kuna nini kuleee?mbowe ni product ya CCM ya kudumisha fikra za ccm, naye anataka aanze kuabudiwa
Bora Mbatia ameonyesha Demokrasia, MBOWE hataki kusikia kitu inayoitwa uchaguzi chadema.
Hivi unaweza kuuliza swali kama hili? Hivi unafikili nauli ya kutoka Mpanda - Dar ni shilingi ngapi?
Pia inakupasa utambue kuwa wajumbe wanaokuja kwenye mkutano kama huo wanalipwa nauli.
Pia mpanda kuna mzunguko mkubwa wa ela kwa biashara za kawaida tu...
Usultani bado upo tanzania!!!
Usultani hadi kwenye gazeti hovyo kabisa,la jamhuri.
Nini Maana ya neno msariti? Mbona Mbowe anapokea pesa nyingi toka kwa wana ccm yeye Mbona haitwi Msariti?mbowe anazitafuna pesa za chama kwa kukibambikia chama madeni feki kisha anajilipa kwa kisingizio eti anakidai chama pesa zake baadae huzitumoa pesa hizo hizo kuwakopesha wana cc ili kuwathibiti wasimguse pindi akienda kinyume na taratibu za chama Ndio Maana pamoja na kashfa zote Mbowe bado analindwa na wana cc ambao ni wafaidika wakubwa wa pesa Binafsi mboweAnzisha uzi wa kumponda Mbowe kama kawaida yako! Kwa taarifa yako, hata waliomtuma Zitto kuihujumu CDM wanajua kuwa bora umfadhili Mbuzi kuliko Msaliti Zitto! BTW, kwanini Maranda, Kaborou, Kafulia na Zitto? Kwanini JKN aliwapotezea? Kwanini hawa watu wana-nunulika kirahisi sana?...kuna nini kuleee?
kama nyerere alivyokaa miaka 23 bila kupingwa. alikuwa anagombea na kivuli
Anzisha uzi wa kumponda Mbowe kama kawaida yako! Kwa taarifa yako, hata waliomtuma Zitto kuihujumu CDM wanajua kuwa bora umfadhili Mbuzi kuliko Msaliti Zitto! BTW, kwanini Maranda, Kaborou, Kafulia na Zitto? Kwanini JKN aliwapotezea? Kwanini hawa watu wana-nunulika kirahisi sana?...kuna nini kuleee?
Usultani bado upo tanzania!!!
Mbowe hawezi kuitisha Uchaguzi kwani wapiga kura wengi hawafaidiki na pesa za Misaada na Ruzuku pesa haifiki kule Chini kwenye mashina na mizizi pesa inamezwa makao makuu tu na akina cc sasa unategemea Mbowe akiitisha uchaguzi matokeo yatakuaje ?
manyerere ameanza kununuliwa mahaba ya lumumba ya buku 7 yanaanza kumuingia
Na wewe ulitarajia kuwa Mbatia angesndwa? Nawe uliamini kuwa alikuwa ana mshindani?
Mbatia janga la taifa