Alikua mchoma cd na mblashi viatu
hayo maigizo tu.chama cha ukweli ni cdm.wengine wanazuga tu
NCCR ilianzishwa kama Kamati ya kuratibu mfumo wa vyama vingi nchini, kamati ile ilikuwa na watu wa TISS watupu...Baadae kamati ikaongeza neno MAGEUZI na hatimae kusajiliwa kama chama cha siasa nchini! To date imeendelea kufanya shughuli zake kwa TOR zile zile walizopewa kamati 1991-1992!...I wish Watanzania wangekuwa na uwezo wa kupambanua mambo zaidi! Mbatia kuteuliwa kuwa Mbunge kwa hisani ya Rais na M/kiti wa CCM haikuwa bahati mbaya!
Bora Mbatia ameonyesha Demokrasia, MBOWE hataki kusikia kitu inayoitwa uchaguzi chadema.
Hacha upotoshaji wewe. Charles Makofila anaishi mpanda vijijini, katika kijiji cha Kibo, yeye ana duka, grocery na mgahawa. Pale kwenye biashara zake hakuna mambo ya kuchoma CD (Kwanza Kibo hakuna umeme). Pia hafanyi biashara ya ku-blash viatu..
Huyo mshindani wake ana sifa zipi?
Mbatia ni mwenyekiti wa Nccr aliyeukwaa ubunge kwa tiketi ya mwenyekiti wa Ccm!
Matata ni diwani wa mahakama aliyeukwaa umeya kwa tiketi ya Ccm!
Hamad Rashid, Zitto, Kafulil wanaendelea kuwa wabunge kwa tiketi ya mahakama!
Kweli Tanzania ni zaidi ya tuijuavyo! This is only in Tanzania!
Bora Mbatia ameonyesha Demokrasia, MBOWE hataki kusikia kitu inayoitwa uchaguzi chadema.
Hacha upotoshaji wewe. Charles Makofila anaishi mpanda vijijini, katika kijiji cha Kibo, yeye ana duka, grocery na mgahawa. Pale kwenye biashara zake hakuna mambo ya kuchoma CD (Kwanza Kibo hakuna umeme). Pia hafanyi biashara ya ku-blash viatu..
kama ni hivyo ni nani alimpa nauli ya kuja DAR ?
kama ni hivyo ni nani alimpa nauli ya kuja DAR ?
Bora Mbatia ameonyesha Demokrasia, MBOWE hataki kusikia kitu inayoitwa uchaguzi chadema.